Alijifanya kidume, nimemlaza lock up

Alijifanya kidume, nimemlaza lock up

Alijifanya kidume, anajua kupigana. Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi, nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu. Nikaenda kumchukulia RB, polisi wamemkamata wamemlaza lock up.

Sasa hivi eti ndio akili zinamkaa sawa anajifanya kunitumia wajumbe wamuombee msamaha.
Kwa staili hii hii tutazidi kuwachakata na kuwaacha mkiwa single mama
 
Safi Sana na iwe fundisho kwa maharamia na mafurushi mengine km hilo
kwa kauli zenuvzile za "Kunipiga hio kwiyo"...."Kwani kukunyali shingapi, hujielewi wewe" kwa staili hii lazma kitufe cha nyuklia za kichapo zikuhusu.
 
Alijifanya kidume, anajua kupigana. Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi, nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu. Nikaenda kumchukulia RB, polisi wamemkamata wamemlaza lock up.

Sasa hivi eti ndio akili zinamkaa sawa anajifanya kunitumia wajumbe wamuombee msamaha.
ukihudumiwa acha kudanga hovyo sio unahudumiwa af unachat na mabaasha wengine lazma upigwe tu sababu unajibu utumbo kwnye mambo seriaz
 
Alijifanya kidume, anajua kupigana. Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi, nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu. Nikaenda kumchukulia RB, polisi wamemkamata wamemlaza lock up.

Sasa hivi eti ndio akili zinamkaa sawa anajifanya kunitumia wajumbe wamuombee msamaha.
Wamemwachia simu na chaja huko rumande?
 
Nina miaka 13 kwenye ndoa sijawahi mpiga mke wangu kwa namna yoyote na si kwamba ugomvi hautokeagi ila huwa nawaza mema alonitendea na anayoendelea kunitendea huyu mtoto wa watu nikiuangalia mwili wake kuanzia usoni hadi kila kona ya mwili wake hakika sijawahi shawishika kumuumiza iwe kisaikolojia au kimwili.

Huwa nafanya hivi ili ku maintain peace in da house. Sasa kwa wale wenzangu ambao mdomo na ushawishi mwingine umeshindikana na kuanza mieleka na masumbwi hadi unamng'oa jino kiukweli wengine wanaweza kukufunga kabisa ili uwe na heshima na adabu huwezi kuwa binadamu uliye na akili timamu halafu unaamini ktk kupigana tena na mkeo!

Sasa mtu kawekwa ndani wengine wanalaumu kwanini kamweka ndani, sasa mtu kalelewa vizuri kwao umemkuta katimia kila kitu kipo sawa ukampenda akawa girl friend/mke unaanza kumpa vibano pengine kwao hajawahi pokea kipigo kama hicho ktk maisha yake kiukweli lazima apate the so called physical and psychological shock hivyo reaction atakayoitoa aliyepigwa huwezi kumpangia.
 
jehanamu kivipi mkuu hebu fafanua🤣
Kwanza chumba kilikuwa kidogo sana halafu kina kunguni kama wote, pili usiku mnalala kwa shida watu wengi nafasi haitoshi tatu msosi sikupewa wala mawasiliano na ndugu zangu kwa siku mbili nilikuwa nakunywa maji tu tena yale ya selo, nne kuna jamaa waliletwa usiku wameiba sehemu yaani wamepigwa ila ya kukaribia kufa wananuka damu ilibidi baada ya muda watolewe kupelekwa kupatiwa huduma ya kwanza
 
Nikitoka humu ndani nikija huko nakudunda tena.
 
kwa kauli zenuvzile za "Kunipiga hio kwiyo"...."Kwani kukunyali shingapi, hujielewi wewe" kwa staili hii lazma kitufe cha nyuklia za kichapo zikuhusu.
Uzuri mahabusu hazijawahi kujaa
 
Kuna mstari mwembamba sana kati ya ''mapenzi'' na ''chuki''.

Ni kawaida watu waliokuwa wapenzi kukuta wanachukiana kwa kiwango cha juu sana.
 
Alijifanya kidume, anajua kupigana. Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi, nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu. Nikaenda kumchukulia RB, polisi wamemkamata wamemlaza lock up.

Sasa hivi eti ndio akili zinamkaa sawa anajifanya kunitumia wajumbe wamuombee msamaha.
Wenzio wanachapwa na pesa ww makofi mabao........ Kwanza w unaonekana una tatizo si bure umetandikwa..... Akitoka akupige hivo vidole ushindwe kutype..... Adabu huna!!!!
 
Nimewahi kukaa ndani nikiwa Chuo baada ya kumtukana abiria kwenye daladala kumbe alikuwa polisi mpelelezi wale wasiovaa sare.

Jamaa aliniweka Kawe Polisi kama kunikomoa kwa siku tano. Nilioyaona kule ndani ya hizo siku tano naweza kusema hivi kama mpenzi wako muwe mmegombana hata kufikia kupigana na hali yoyote ile akifikia kukupeleka ndani nakushauri uachane nae. Mie kwa uzoefu wangu wa kule hata mtu anifanyie visa gani siwezi kumpeleka ndani nitakaa nae nitamwonya

Kule ni sawa na mtu kukupeleka Jehanamu. Sasa kama mpenzi wako au mkeo anakupeleka Jehanamu huyo hafai kabisa

Siku naoa nilimwambia mke wangu siku ukinipeleka ndani ujue ndio mwisho wa ndoa yetu na nikitoka ni bora uwe umeshatangulia kwenu mapema sana
Mtu akikupeleka ndani anakuwa ameshindwa kukuuwa tu , ukitoka kaa nayw mbali sana , jela sio.
 
Back
Top Bottom