yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,897
- 3,336
Kwa staili hii hii tutazidi kuwachakata na kuwaacha mkiwa single mamaAlijifanya kidume, anajua kupigana. Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi, nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu. Nikaenda kumchukulia RB, polisi wamemkamata wamemlaza lock up.
Sasa hivi eti ndio akili zinamkaa sawa anajifanya kunitumia wajumbe wamuombee msamaha.
kwa kauli zenuvzile za "Kunipiga hio kwiyo"...."Kwani kukunyali shingapi, hujielewi wewe" kwa staili hii lazma kitufe cha nyuklia za kichapo zikuhusu.Safi Sana na iwe fundisho kwa maharamia na mafurushi mengine km hilo
yani na ww unasapoti huu ushenzi kweliVere good
ukihudumiwa acha kudanga hovyo sio unahudumiwa af unachat na mabaasha wengine lazma upigwe tu sababu unajibu utumbo kwnye mambo seriazAlijifanya kidume, anajua kupigana. Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi, nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu. Nikaenda kumchukulia RB, polisi wamemkamata wamemlaza lock up.
Sasa hivi eti ndio akili zinamkaa sawa anajifanya kunitumia wajumbe wamuombee msamaha.
Wamemwachia simu na chaja huko rumande?Alijifanya kidume, anajua kupigana. Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi, nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu. Nikaenda kumchukulia RB, polisi wamemkamata wamemlaza lock up.
Sasa hivi eti ndio akili zinamkaa sawa anajifanya kunitumia wajumbe wamuombee msamaha.
Kwanza chumba kilikuwa kidogo sana halafu kina kunguni kama wote, pili usiku mnalala kwa shida watu wengi nafasi haitoshi tatu msosi sikupewa wala mawasiliano na ndugu zangu kwa siku mbili nilikuwa nakunywa maji tu tena yale ya selo, nne kuna jamaa waliletwa usiku wameiba sehemu yaani wamepigwa ila ya kukaribia kufa wananuka damu ilibidi baada ya muda watolewe kupelekwa kupatiwa huduma ya kwanzajehanamu kivipi mkuu hebu fafanua🤣
Amesema, '...alituma WAJUMBE..' sio ujumbe.Wamemwachia simu na chaja huko rumande?
Asante nimeelewa sasa baada ya kusoma tena. ShukraniAmesema alituma WAJUMBE sio ujumbe.
Uzuri mahabusu hazijawahi kujaakwa kauli zenuvzile za "Kunipiga hio kwiyo"...."Kwani kukunyali shingapi, hujielewi wewe" kwa staili hii lazma kitufe cha nyuklia za kichapo zikuhusu.
Wenzio wanachapwa na pesa ww makofi mabao........ Kwanza w unaonekana una tatizo si bure umetandikwa..... Akitoka akupige hivo vidole ushindwe kutype..... Adabu huna!!!!Alijifanya kidume, anajua kupigana. Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi, nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu. Nikaenda kumchukulia RB, polisi wamemkamata wamemlaza lock up.
Sasa hivi eti ndio akili zinamkaa sawa anajifanya kunitumia wajumbe wamuombee msamaha.
Unaona ujanja kuwaweka wenzio mahabusuUzuri mahabusu hazijawahi kujaa
Nimecheka kama chizi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nadhani kachanganyikiwa, teke la mbavu si masihara
Fanya kujaribu tuUnaona ujanja kuwaweka wenzio mahabusu
Mtu akikupeleka ndani anakuwa ameshindwa kukuuwa tu , ukitoka kaa nayw mbali sana , jela sio.Nimewahi kukaa ndani nikiwa Chuo baada ya kumtukana abiria kwenye daladala kumbe alikuwa polisi mpelelezi wale wasiovaa sare.
Jamaa aliniweka Kawe Polisi kama kunikomoa kwa siku tano. Nilioyaona kule ndani ya hizo siku tano naweza kusema hivi kama mpenzi wako muwe mmegombana hata kufikia kupigana na hali yoyote ile akifikia kukupeleka ndani nakushauri uachane nae. Mie kwa uzoefu wangu wa kule hata mtu anifanyie visa gani siwezi kumpeleka ndani nitakaa nae nitamwonya
Kule ni sawa na mtu kukupeleka Jehanamu. Sasa kama mpenzi wako au mkeo anakupeleka Jehanamu huyo hafai kabisa
Siku naoa nilimwambia mke wangu siku ukinipeleka ndani ujue ndio mwisho wa ndoa yetu na nikitoka ni bora uwe umeshatangulia kwenu mapema sana