Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Hana sofa za mke huyu, atakuwa ni kahaba wqliojibadili jina siku hizi kujiita mchepukoMumeo au mpenzi wako mkuu
Hamna kitu unajua. Kama umebahatika kupata mwanamke mtulivu mshukuru Mungu kwa hilo na kaa utulie lakini siyo kucomfirm kwamba mwanamke hapigwiNina miaka 13 kwenye ndoa sijawahi mpiga mke wangu kwa namna yoyote na si kwamba ugomvi hautokeagi ila huwa nawaza mema alonitendea na anayoendelea kunitendea huyu mtoto wa watu nikiuangalia mwili wake kuanzia usoni hadi
Tena wameongeza watoto mbili tayari weee haya ya wawili si ya kuyashadadiaaUnaambiwa baada ya jamaa kutoka ndani, sasa hv wote wanaishi pamoja ni kitanda tuu ndio kinapata shida.
Vikojoleo vinapata tabu, ila wao wanafuraha tele kama hakujawahi kutokea kitu.Tena wameongeza watoto mbili tayari weee haya ya wawili si ya kuyashadadiaa