Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora mashabiki wa simba wanaoishia kucomment tu, mashabiki wa yanga hadi sasa wameshaanzisha nyuzi takriban elfu moja za kuwasema simba, na zote hizo ni magazeti na majarida yaliyojaa chuki, mihemko, hasira, wivu, nk
Kama utopolo mngekuwa na kikosi bora na kipana, msingeambulia matokeo mliyoyapata dhidi ya jkt, azam na tabora bila kusahau klabu bingwaSasa muwalqumu bodi ya usajili Kwa kuwaletea magarasa
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Huwa naziona ila idadi ya nyuzi zake haijafikia idadi ya nyuzi za mashabiki wa yanga, halafu genta mara nyingi anayoyaandika huwa ni ukweli, ila hao mashabiki wa yanga sasa daah ngoja niishie hapaMkuu ina maana huwa hauzioni nyuzi za genta?
Huwa naziona ila idadi ya nyuzi zake haijafikia idadi ya nyuzi za mashabiki wa yanga, halafu genta mara nyingi anayoyaandika huwa ni ukweli, ila hao mashabiki wa yanga sasa daah ngoja niishie hapa
Kwan makolo hawakukimbia mechiNyuma mwiko wamebaki kutapatapa tu baada ya kuona siyorahisi kupata point 3 za mezani
Kumbe huelew wewe .....Yanga sometimes wanapoteza mech Ili kuleta balance kwenye ligiKama utopolo mngekuwa na kikosi bora na kipana, msingeambulia matokeo mliyoyapata dhidi ya jkt, azam na tabora bila kusahau klabu bingwa