Alikiba aachia goma jipya linalokwenda kwa jina la joho tena

Unajua wabongo wengi kule instagram wana akili za kushikiwa, hawafikirii na wala hawawazi. Ni watu wa ajabu sana..watu wa mahaba niue, washabiki maandazi..washabiki bendera hufuata upepo....wewe mleta mada ni mmoja wao.

Hii ngoma kwanza hujaisikiliza umekurupuka tu kusema Kiba katoa kitu kipya...umeshindwa kabisa kutambua jamaa anazungumzia Mombasa?

Huu ushabiki wa vipi jamani...af ngoma yenyewe sasa dah!
Kiba ni mkali lkn sio kwa kusifia hivi hii ngoma ya kampeni mdau.
 
Hapo ulivyoandika kwa watu wazima tunajua unaseduce mama ni sawa na kusema mimi ni shabiki wa diamond ila namkubali Kiba kwa timu hizi hii si kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…