Alikiba aachia goma jipya linalokwenda kwa jina la joho tena

Alikiba aachia goma jipya linalokwenda kwa jina la joho tena

Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Yule mkali wa bongo, mkali wa sauti king kiba, kaachia ngoma ambayo haitamwacha mtu salama ngoma inakwendwa kwa jina joho tena

Hii ngoma ni noma mazee naona simba mwaka huu watAkula nyasi kudadadek
LONDON BABY


Unajua wabongo wengi kule instagram wana akili za kushikiwa, hawafikirii na wala hawawazi. Ni watu wa ajabu sana..watu wa mahaba niue, washabiki maandazi..washabiki bendera hufuata upepo....wewe mleta mada ni mmoja wao.

Hii ngoma kwanza hujaisikiliza umekurupuka tu kusema Kiba katoa kitu kipya...umeshindwa kabisa kutambua jamaa anazungumzia Mombasa?

Huu ushabiki wa vipi jamani...af ngoma yenyewe sasa dah!
Kiba ni mkali lkn sio kwa kusifia hivi hii ngoma ya kampeni mdau.
 
Mimi ni shabiki wa Ali Kiba loong long tym, lakini sikubaliani na namna ambavyo mashabiki wa leo wa Kiba wanavyofosi kuwa ni lazma Kiba awe juu ya Diamond!!

Diamond amesavaiv sana na amefanikiwa mno kwa kila jambo kuliko Kiba!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ulivyoandika kwa watu wazima tunajua unaseduce mama ni sawa na kusema mimi ni shabiki wa diamond ila namkubali Kiba kwa timu hizi hii si kweli
 
Back
Top Bottom