Alikiba Afunguka kuhusu tuzo za Afrimma, asema pesa nyingi zilitumika kupambana nae..!

Alikiba Afunguka kuhusu tuzo za Afrimma, asema pesa nyingi zilitumika kupambana nae..!

Aende huko..yeye si mfalme..badala ya kupambana aboreshe kazi zake ziendelee ku cross boarder anakalia maneno ya kiswahili..yeye si king? kwanini naye hakuhonga? thats too cheap kupenda kupata umaarufu wa huruma kupitia mgongo wa mtu!
 
Mkuu album ya olamide ya lini.? Olamide mbona hajatoa album

Sijasema katoa mkuu,ilikua ni cover photo ya album ambayo inatoka tarehe sawa na album ya Runtown.Nawasilisha.
 
manen ndo yanayo mponza,davido,wizkid hawajalalamika,sasa alitaka wampe yeye wimbo bora wa mwka,umewika wap km sio tanzania tu
 
Back
Top Bottom