AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
WAkuu katika mash up collabo za nyimbo 4 alizofanya Alikiba na Victoria Kimani (Kenya), Mash up 3 zote zimepata kura nyingi na kuingia directly kwenye Album ya CokeStudio.
Hii ni historia East Africa tangu kuanzishwa kwa Cokestudio haijawahi tokea msanii kutoka East Africa aingize mash up nyingi kama ilivyotokea kwa Alikiba na Victoria Kimani.
Hongera #Kingkiba
Hii ni historia East Africa tangu kuanzishwa kwa Cokestudio haijawahi tokea msanii kutoka East Africa aingize mash up nyingi kama ilivyotokea kwa Alikiba na Victoria Kimani.
Hongera #Kingkiba