Perfectz
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 9,045
- 28,216
Tulia dada zangu nishazaa nasubiri na wewe utuzalie mapachaWewe umefanikiwa nini dunia hii? Zaidi ya kubeba mimba 3?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia dada zangu nishazaa nasubiri na wewe utuzalie mapachaWewe umefanikiwa nini dunia hii? Zaidi ya kubeba mimba 3?
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Andamaneni na mrepot kwa wingi ili anipie banSio kufuta uzi too ukileta za kuleta anakufuta kabisa JF. Huyo ndio mkuu wa kitengo Cha BAN
Sent using Jamii Forums mobile app
Ban siyo si kufukuzwa kazi/kibarua au kufungiwa biashara kwamba ntakosa hela na siogopi ban
Na mrisho alimuiga naniHaters watasema hayo mavazi kamuiga Mrisho Mpoto.
Usimfananisha alikiba na vitu vya kijinga juzi picha tu na location moja na amisa vike trend kuliko hata Afro East albamHakuna msanii hapo... Mambo mengi, akiulizwa na mashabiki lini utaachia nyimbo? Anajibu sipangiwi kutoa nyimbo. Binafsi huyu jamaa anaboa na kwa ujio wa Konde Boy... Huyu jamaa anapotea mdogodogo labda ajiunge konde gang
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana nyodo wala dharau , ana poor comminication skills hii inasomwa shuleni au unazaliwa nayoHuyu jamaa ana nyodo sana + dharau.
Au jamaa ni introvert?Hana nyodo wala dharau , ana poor comminication skills hii inasomwa shuleni au unazaliwa nayo
alikiba anajua shida yake kubwa anaenenda kinyume na fans wake