AliKiba amefunguka jinsi Dully Sykes alishiriki kutengeneza wimbo wake wa kwanza (2003)

AliKiba amefunguka jinsi Dully Sykes alishiriki kutengeneza wimbo wake wa kwanza (2003)

Yeeeeeeep the King is Baaaaaack,
Afadhali atuliwaze kipindi hiki cha Quarantine.
[emoji146][emoji146]

The best Medicine of Corona is to Stay Home.
 
Hakuna msanii hapo... Mambo mengi, akiulizwa na mashabiki lini utaachia nyimbo? Anajibu sipangiwi kutoa nyimbo. Binafsi huyu jamaa anaboa na kwa ujio wa Konde Boy... Huyu jamaa anapotea mdogodogo labda ajiunge konde gang

Sent using Jamii Forums mobile app
Usimfananisha alikiba na vitu vya kijinga juzi picha tu na location moja na amisa vike trend kuliko hata Afro East albam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom