Alikiba amrushia kijembe Diamond Platinumz

Alikiba amrushia kijembe Diamond Platinumz

Ali Kiba anajua Kuimba ila hana Ubunifu na Mvuto kwa hata tu Mashabiki wake.

Diamond hajui Kuimba ila ni Mwerevu, Mbunifu, Mtafiti, Mjanja na ni Mtu wa Kujichanganya hivyo ataendelea kuwa juu Kimuziki, Kiutajiri na Kiumaarifu kuliko Ali Kiba.
nonesense
 
Alikiba amshuruku San mondi kuwepo vingevyo angekuta hata hatumjui Yuko kariakok anauza nguo
Kwani alivyo Anza kuimba 2000+ diamond alikua wapi 🤔🤔 kipindi album ya kwanza ya Alikiba inavunja na kuweka rekodi ya mauzo diamond alikua wapi 🤔🤔 hata kama humkubali sio kuanza kuandika vitu ambavyo havina mantiki
 
Huwa najiuliza hivi na kwa wenzetu mfano wasauzi au wanaija nako haya mambo yako serious kama hivi kweli, yani bongo majungu na fitna kwenye kila tasnia siyo siasa siyo mpira siyo muziki siyo filamu, halafu hapo akihojiwa atakuja kusema hawana beef lolote wanachangamsha game tu
Bila Bifu hapo hakutakua na mvuto tena, bifu ndo linaweka mjini.
 
Kwani alivyo Anza kuimba 2000+ diamond alikua wapi [emoji848][emoji848] kipindi album ya kwanza ya Alikiba inavunja na kuweka rekodi ya mauzo diamond alikua wapi [emoji848][emoji848] hata kama humkubali sio kuanza kuandika vitu ambavyo havina mantiki
Chawa wa Domokayaa huwa wanavurugwa balaa pindi domokaya wao akifurushwa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wa kuwasamehe tyuuh.
 
Huwa najiuliza hivi na kwa wenzetu mfano wasauzi au wanaija nako haya mambo yako serious kama hivi kweli, yani bongo majungu na fitna kwenye kila tasnia siyo siasa siyo mpira siyo muziki siyo filamu, halafu hapo akihojiwa atakuja kusema hawana beef lolote wanachangamsha game tu
Mkuu mbona meghan na nick minaj wana mabifu.
Mbona cardi B na nick Walmart mabifu.

Diamond na alikiba wanapaswa waendelee kuwa hivo ili watu wengi waendelee kula.

Nature ya mziki lazima kuwepo na vitu kama hivi especially mziki wa bongo sababu wengi wanapenda mambo haya.
Magazeti mengi ya udaku yatauza, channel nyingi za udaku zitakuwa active, watu watafanya biashara kupitia matangazo na mengineyo.

DIamond na Alikiba wanafanya uwepo wa page nyingi za udaku kuendelea kusurvive na watu kuishi.
 
Ali Kiba anajua Kuimba ila hana Ubunifu na Mvuto kwa hata tu Mashabiki wake.

Diamond hajui Kuimba ila ni Mwerevu, Mbunifu, Mtafiti, Mjanja na ni Mtu wa Kujichanganya hivyo ataendelea kuwa juu Kimuziki, Kiutajiri na Kiumaarifu kuliko Ali Kiba.
hajui kuimba? Huwa anaongea kwa beats na musics?!
 
Alikiba anadhani Ana uwezo mkubwa wa kuimba,kumbe hana.Diamond Ana uwezo mkubwa kuliko yeye anavyofikiria
 
Kwani alivyo Anza kuimba 2000+ diamond alikua wapi 🤔🤔 kipindi album ya kwanza ya Alikiba inavunja na kuweka rekodi ya mauzo diamond alikua wapi 🤔🤔 hata kama humkubali sio kuanza kuandika vitu ambavyo havina mantiki
Ngoja na mimi nichangie kdg, Ally alifanya vzr miaka hiyo uliyotaja, akavuma na akaeleweka, lkn kwa sbb hakuwa na maono yoyote kimuziki, alibweteka akaacha kutoa nyimbo na akasahaulika, hapo ndipo huyo kijana wa tandale akaibuka na maono makubwa kimuziki na njaa kali! akapokelewa vzr ndio Ally sasa anakurupuka kutoka huko alikotoka kuja na bifu uchwara ambalo ndio limemsaidia kukubalika na baadhi ya washabiki.
 
Ila ulivosema diamond hajui kuimba nimekushangaa kama wangekuwa hajui kuimba nyimbo zake zisingekuwa zinauza sana, asingukuwa ana win tuzo kubwa
Hata Vits zinauzwa sana kuliko Range Rover Bongo.

😎
 
Utajiri wake unakusaidia nini, watu tunataka mziki mzuri!
Hapa mwenyewe ndo nashangaaga mtu anakomaa kusema flani ana hela kuliko flani as if anapata hata mia kwa huyo mtu, mimi naangalia burudani wapi napata naishi humo
 
Kwani alivyo Anza kuimba 2000+ diamond alikua wapi 🤔🤔 kipindi album ya kwanza ya Alikiba inavunja na kuweka rekodi ya mauzo diamond alikua wapi 🤔🤔 hata kama humkubali sio kuanza kuandika vitu ambavyo havina mantiki

Mauzo gani?
 
Ngoja na mimi nichangie kdg, Ally alifanya vzr miaka hiyo uliyotaja, akavuma na akaeleweka, lkn kwa sbb hakuwa na maono yoyote kimuziki, alibweteka akaacha kutoa nyimbo na akasahaulika, hapo ndipo huyo kijana wa tandale akaibuka na maono makubwa kimuziki na njaa kali! akapokelewa vzr ndio Ally sasa anakurupuka kutoka huko alikotoka kuja na bifu uchwara ambalo ndio limemsaidia kukubalika na baadhi ya washabiki.
Kwanza kabisa Alikiba hajawahi kusahaulika hata mara moja hata kipindi hatoi nyimbo bado nyimbo zake ziliendelea kupigwa redioni na akaendelea kushindanishwa na vijana waliokua wanaibuka kipindi kile akiwemo diamond, kuto kuelewana kati yao kulitokea katika kipindi ambacho alikiba alikua hatoi nyimbo, kilicho mrudisha alikiba kwenye nafasi yake ni aina ya mziki anaofanya ndio maana anatoa nyimbo sio zaidi ya 5 kwa mwaka na bado watu wanamkubali, kama angekua hana maoni ya mziki basi angekua anafanya mambo mengine nje ya mziki
 
Ngoja na mimi nichangie kdg, Ally alifanya vzr miaka hiyo uliyotaja, akavuma na akaeleweka, lkn kwa sbb hakuwa na maono yoyote kimuziki, alibweteka akaacha kutoa nyimbo na akasahaulika, hapo ndipo huyo kijana wa tandale akaibuka na maono makubwa kimuziki na njaa kali! akapokelewa vzr ndio Ally sasa anakurupuka kutoka huko alikotoka kuja na bifu uchwara ambalo ndio limemsaidia kukubalika na baadhi ya washabiki.
We umeelezea vizuri
 
Mambo yenu daslamu hayo...
Mimi huku mpanda mnajadili nini??
 
Ali Kiba anajua Kuimba ila hana Ubunifu na Mvuto kwa hata tu Mashabiki wake.

Diamond hajui Kuimba ila ni Mwerevu, Mbunifu, Mtafiti, Mjanja na ni Mtu wa Kujichanganya hivyo ataendelea kuwa juu Kimuziki, Kiutajiri na Kiumaarifu kuliko Ali Kiba.
Ubunifu ndo upake mate nyoka aende pangoni..mwanao akija kuimba mbele yako utaridhika?
 
Back
Top Bottom