Ubena Zomozi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,608
- 1,286
nonesenseAli Kiba anajua Kuimba ila hana Ubunifu na Mvuto kwa hata tu Mashabiki wake.
Diamond hajui Kuimba ila ni Mwerevu, Mbunifu, Mtafiti, Mjanja na ni Mtu wa Kujichanganya hivyo ataendelea kuwa juu Kimuziki, Kiutajiri na Kiumaarifu kuliko Ali Kiba.