Alikiba apaform nyimbo 2 ashushwa Mombasa

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Baada ya Wizkid kutumbuiza nyimbo zake zote ndipo alipopanda mzanii wa bongo Alikiba na alipoanza kuimba mike yake ikazima baada ya kurekebisha msanii uyo aliimba nyimbo 2 tu maarufu , nyimbo za mackmuga na aje na waandaji kumshusha ili chriss brown apande stegin

Chriss brown alitumbuiza kwa masaa 2 mfululizo.
Hata hivo kitendo hicho hakikufurahisha Alikiba ndipo waandaji walipomtuliza kwa kumpandisha tena stegin baada ya chriss brown kumaliza show yake.
Kifupi show haikudhuriwa na watu wengi kama ilivyotarajiwa wengi wakilaumu kiingilio
 
Alikiba kapata m5 cash
Na hakuwa na mandaliz ndo mana wakamshusha kwa. Waliofatilia cris alipanda na akatumia mic ambayo kiba imemshinda
Na watu walikiwa wakawaida tu nadhan wangempeleka dimond wangejaa sana na shoo ingekuwa poa sana kodooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…