Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
kwani anashindana na mond?Bado hatakuja hata kumkaribia Mondi. Hongera kwake lakini. [HASHTAG]#Fresh[/HASHTAG]
Nilishangaa nikajua tiaraei yetu ishamtembelea na kumpa hesabu tokea 1987 alipozaliwa kodi hajalipamod naomba ubadilishe heading uweke dili badala ya bill
Sisi mashabiki ndio tunawashindanisha. Wao wenyewe sijuikwani anashindana na mond?
Mond na mashabiki zake akili zenu zina dosari,haiwezekani ukamtaja mond hapa,anahusikaje au ni dalari wa hii dili???Bado hatakuja hata kumkaribia Mondi. Hongera kwake lakini. [HASHTAG]#Fresh[/HASHTAG]
We ndio mwenye dosari. Kutajwa Mondi hapa ndio ushaanza kupovuka.? Na kwa isiwezekane kumtajaMond na mashabiki zake akili zenu zina dosari,haiwezekani ukamtaja mond hapa,anahusikaje au ni dalari wa hii dili???
Inasemekana?inasemekana gavana joho kampa nyumba mombasa pamoja na gari aina ya range na billion kadhaa
huko marekani baada ya show ya kufa mtu last week p square wamemuomba collabo wamemlipa tsh 200m
ndo keshalipwa sana.mbona mond aliwalipa?P Square wamlipe ili wapate nini na EA wanajulikana sana tangu... Embu tujuze
wewe una thamani ya sh ngapi?Ya zimbabwe? Alikiba hana thamani hata ya million 80 per show na huu ndio ukweli!
Alikiba alipwe hiyo hela kwa sababu zipi na kipi kipya?
Huu upendo wa watu wa mombasa huwa na ukakasi sanainasemekana gavana joho kampa nyumba mombasa pamoja na gari aina ya range na billion kadhaa
huko marekani baada ya show ya kufa mtu last week p square wamemuomba collabo wamemlipa tsh 200m
Acha uongoRaha ya huyu jamaa hana maisha ya show off za kupuuzi kama domo kaya
Sent using Jamii Forums mobile app