Alikiba apata dili la billion kumi

Huyo alompa mwenyewe hio bilioni kumi hana!!acheni uongo alikiba anatembelea nyota ya diamond, mziki hana hamu nao tena ila nyie wenye chuki na mafanikio ya diamond ndio mnampush!
Alimleta Chris brown kwa bei gani.....huyo jamaa

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Inasemekana gavana joho kampa nyumba mombasa pamoja na gari aina ya range na billion kadhaa.

Huko marekani baada ya show ya kufa mtu last week p square wamemuomba collabo wamemlipa tsh 200m
Uongo mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…