Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Maskini kiba hawajali mashabiki wake yaan video mpaka leo ya cheketua lo,yaan team kiba washanganda mpaka basi wanjifariji masikin yaan kiba ni sawa na arsenal
kila atakacho kifanya?
Yale mauno ya Nasema nawe yamenifanya nizisahau ata nyimbo zote za kiba
Ni kweli kazi ya management yake kama ilivyo mshauri akaimbe bure kwa mtaraka wa Gadna ili awe timu yakeHiyo ni kazi ya management yake acha kutokwa povu hapa.Sisi tubaki kama mashabiki tu na kumsapoti katika kila atakachokifanya.
Mie ni mara ya kumi na mbili nausikiliza hapa...
King wakati wake ulishaisha....
Cheketua mwisho msata nasema nawe ndio habareee ya mujini
hahahahahaaa, one of the best comments around these partshah hah hah huyo ashachemsha...kafturu saa kumi na moja jioni...yaani hata adhana bado ye keshafakamia uji.ni mjinga, punguani, zezeta, mpumbavu aliekosa washauri na hataki ushauri.karidhika na kazi zake kuwika Bongo na nchi za jirani, hajui kuwa Muziki au mwanamuziki anatakiwa apenye all over the World.sasa yeye kaganda hapahapa miudenda inamchuruzika tu.shame on Him
hah hah hah huyo ashachemsha...
kafturu saa kumi na moja jioni...yaani hata adhana bado ye keshafakamia uji.
ni mjinga, punguani, zezeta, mpumbavu aliekosa washauri na hataki ushauri.
karidhika na kazi zake kuwika Bongo na nchi za jirani, hajui kuwa Muziki au mwanamuziki anatakiwa apenye all over the World.
sasa yeye kaganda hapahapa miudenda inamchuruzika tu.
shame on Him
mi huo cheketua hata siujui hadi leo
Kwanini usingemuhoji mleta mada ambae amesema yeye ni shabiki wa Ali Kiba lakini kwenye thread yake kamwingiza Diamond? Tuache unafiki hapa... watu wa Kiba wanataka kumshindanisha Kiba na Diamond na huo ndio ukweli wenyewe na hata wewe mwenyewe unafahamu hilo!Nye bhana kiba hashindani,kwanini mnamshindanisha asiyeshindana
mkuu kwa haya mabaya si uwe mke wa diamond akiachana na zari
nimefuatwa na mashehe 50 wa B/Moyo wamekuja kunishawishi nikusifie...( nimevutiwa na unavo-argue, soo cynical )
kila atakacho kifanya?
Robert Kelly alishamsahau wewe!Mi ni team Ali Kiba forever ila jamaa anazingua na sijui anajisikia au vipi maana kila siku anaambiwa hasikii kama atataka kushindana na Diamond naona kachelewa sana.
Katoa audio ya chekecha cheketua siku hizi video ndio inakutambulisha kimataifa kakaa kama mjinga fulani, Diamond katoa video ya nyimbo yake nyimbo ya kawaida sana Sema hafanyi kama Kiba kutanguliza audio.
Dogo mjanja sana katoa video akijua itazidi kumtambulisha kimataifa. Naona Namibia, Ghana, Nigeria, Botswana wanacomment kuhusu video. Ali Kiba unalala tu.
Tuwe wawazi team Kiba Tunajua Diamond yupo juu Sema Diamond Hana kipaji kama Ali Kiba ila ukiendelea hivi utakimbiwa halafu dogo ana dharau ndo maana Hata instagram hajamfollow mtu yeyote.
Diamond big up ishu ni kujulikana kimataifa maana Tanzania umemaliza tayari Kiba ukitaka kuwa juu sikiliza mashabiki acha dharau na angalia soko linaendaje acha ujinga team Kiba tupo pamoja.
Ni ushauri maana tunataka ujulikane Dunia nzima kama R Kelly anakujua why Dunia isikujue? Jitambue.
Ni ujinga kusema kazi ya management, sasa km management inamfelisha asiwe -----.. Basi hyo management take pumba tupu, haionesh nia ya dhat kumtoa kitaifa kumpeleka kimataifa, aende name wakat bhana.. Sidhan kama diamond wakat anahangaika alikuwa n management nzur, Hawa wote wamekuja baada ya kuonesha kitu..
Kiba alikuwa zamani,sasa ivi no sawa na nyanya mbovu/masalu.
acheni majungu KIBA ANATISHAAAAAAAA
Nadhaniii hili ndilo watu wanashindwa kung'amua, ila itafika sehemu hata huyo wanayemuona bora baadae watamsema kwa mabaya, binadaam kiumbe kigumu Sana kuridhika hata ukifanyie vipi keshoo kitakujaa na lawamaa! Duuuuh
Ally kiba amesharidhika na tamasha la fiesta.
Mwaka mzima anajipanga na fiesta 2015 hayo mambo ya kimataifa amemuachia mond