Ndo hivyo mkuu..Utakumbuka hata kipinde kile Raisi alivyoitoa ile studio aliwakabidhi TFU..Baadhi ya watu ndo wakawa wanahoji kwann wakabidhiwe TFU na sio TUMA..Mana TUMA ndo chama cha wasanii kilichokuwa kinatambulika
Yeah..Nje ya kazi pia walikuwa marafiki..Fa akaamua kuzingua
Jana ktk uzinduzi wa ngoma yake Lupela walikuwepo Mwanafa, Jide na Gadna sasa sijui
walisalimiana au laa, lakini kwenye picha it shows Jide hakufurahi maana hakutabasamu kama wengine na binamu nae kaangalia chini labda kidogo Gadna hajaonesha hisia tofauti.
Mliokuwepo tell us moreee.