Alikiba huwezi kuongea mbele ya camera au?

Ali kaanza kua mbele ya Camera kabla wewe hujaja mjini halafu unasema hajui kucheza na camera hahahaha ficha ujinga wako.
 
Wewe tengeneza tangazo lako
 
Peleken pampas kwa mtoto wa mobeto kamera kwani Ali Kiba ni BONGO MOVIE?... Wazee wa kukataa WATOTO mpooooooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…