Alikiba jitambue bhana

Alikiba jitambue bhana

Sharobaro la jf

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2020
Posts
237
Reaction score
325
Habari zenu wakuu,

Poleni na miangaiko ya hapa na pale, kiukweli huyu msanii wenu alikiba almaarufu kama kingkiba the real voice siku hizi naona kabisa uwezo wake wa utunzi umeshuka sana, alikiba wa sasa sio yule Alikiba wa 2011 hadi 2015, yule ndio Alikiba niliekuwa namkubari alikuwa akitutolea vitu adimu sana, hauwezi kuifananisha mwana, Dushelele na dodo hau Mbio kwani utaona kabisa ni vitu viwili tofauti sawa kumfananisha mgambo na mwanajeshi, utunzi wa mwana, dushelele ndio ambao mashabiki tunauta sio kuanza kutuletea nyimbo za kawaida kama dodo, mshumaa, mbio na ule wimbo uliobuma baada ya kutoka, mvumo wa radi, sote tunamtambua alikiba ni mtu ambae anatumia akili sana katika kufanya kazi pengine ameamua kubadilika ili kuendana na soko la mziki wa kisasa anyway but anatakiwa hata mara moja moja atuletee nyimbo kama zile za mwana, mapenzi yana run dunia sio mbaya kwaajili ya kutupa furaha mashabiki wake tunaopendaga kazi zake,

Despite na utunzi wa sasa wa Alikiba ila bado anafanya vizuri katika soko la africa pengine ni kutokana na kuwa na mashabiki wazalendo japo anatuangusha na aina ya utunzi wake wa sasa ila ndio hivyo tunaamua kumsapoti hivyo hivyo pengine ipo siku atakuja kubadilika kutokana na vilio vyetu,

La mwisho suala la Alikiba kutoa nyimbo moja kwa miezi ni suala linalotuchukiza sisi mashabiki wa Alikiba, mziki hivi sasa ni biashara Alikiba inabidi ajaribu angalau kutoa nyimbo hata 3 angalau kwa mwaka sio mbaya kwani hii aina ya utoaji wa nyimbo moja japo anafanya vizuri katika soko la sasa ila ingemuongezea zaidi wigo mpana wa biashara, mashabiki tunapenda kusikiliza nyimbo tofauti tofauti , tunapenda sana kumuona kingkiba akitupa nyimbo angalau3 kwa mwaka,

Mwisho wa yote respect kwako king of Africa Alikiba msanii wa kwanza anafanya vizuri hivi sasa Africa na bara la Asia na nchi za kiarabu,
 
Kiukweli jamaa ananashabiki na wanamkubali we fikiria na kazi zaje zilivyozakawaida bado watu wanamkubqli lkn anawaangusha sana hawatendei haki utashangaa yupo jf au anaona hz post lkn siwez stuka akisema hapendi showoff kuqchia nyimbo jpo3 kwa mwaka na walau hit2 itapendeza siyo analeta nyimbo za kawaida hz aelewe akitoa hit song anaongeza kundi,awe mbunifu anasema haimbi matusi,mara baloz wa utalii sa kwanini asiimbe vitu vya naana km hifadhi zetu km n kweli la sivyo ni aina ya kiki ili ajikongoje tu
 
Kuna wakati inabidi ukubali hali halisi ya maisha ndio kama Kiba ameshakubali hali yake hivyo msishangae
 
Nasisitiza bado hajatendea haki title kingkiba,hata ile lebal nahc bado hajakamilisha hata maono yake yakuiita kings huenda yupo kwenye mipango tusubiri baada ya miaka2 km bado anahit kwa levo hzi bora akalime mchicha vyinginenyo akubali hali au aamue kuhit kwani akili alixotumia zaman sasa kamuazima nani?
 
Alikiba Mwanangu anajua sana tu Sema Mwanangu akitoa Hit Sana atakuwa kavunja Yale makubaliano yetu ukiwa asipende SHOW OFF Sanaa so sah.v atakaa Hadi 2023 huko ndio ataachia HIT moja matata Sana...

Typed Using KIDOLE
 
bora hamieni kwa mjeshi huyo kibakuli saivi anapga qaswida tu alafu mwisho hapo umeandika utopolo mtupu
 
Bahat aliyo nayo alikiba ni bahat kubwa Sana Yani harmoniz akipata zali la kiba atafika mbali Sana Mana kiba jina na kazi zake haviringan
Habari zenu wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale, kiukweli huyu msanii wenu alikiba almaarufu kama kingkiba the real voice siku hizi naona kabisa uwezo wake wa utunzi umeshuka sana, alikiba wa sasa sio yule Alikiba wa 2011 hadi 2015, yule ndio Alikiba niliekuwa namkubari alikuwa akitutolea vitu adimu sana, hauwezi kuifananisha mwana, Dushelele na dodo hau Mbio kwani utaona kabisa ni vitu viwili tofauti sawa kumfananisha mgambo na mwanajeshi, utunzi wa mwana, dushelele ndio ambao mashabiki tunauta sio kuanza kutuletea nyimbo za kawaida kama dodo, mshumaa, mbio na ule wimbo uliobuma baada ya kutoka, mvumo wa radi, sote tunamtambua alikiba ni mtu ambae anatumia akili sana katika kufanya kazi pengine ameamua kubadilika ili kuendana na soko la mziki wa kisasa anyway but anatakiwa hata mara moja moja atuletee nyimbo kama zile za mwana, mapenzi yana run dunia sio mbaya kwaajili ya kutupa furaha mashabiki wake tunaopendaga kazi zake,

Despite na utunzi wa sasa wa Alikiba ila bado anafanya vizuri katika soko la africa pengine ni kutokana na kuwa na mashabiki wazalendo japo anatuangusha na aina ya utunzi wake wa sasa ila ndio hivyo tunaamua kumsapoti hivyo hivyo pengine ipo siku atakuja kubadilika kutokana na vilio vyetu,

La mwisho suala la Alikiba kutoa nyimbo moja kwa miezi ni suala linalotuchukiza sisi mashabiki wa Alikiba, mziki hivi sasa ni biashara Alikiba inabidi ajaribu angalau kutoa nyimbo hata 3 angalau kwa mwaka sio mbaya kwani hii aina ya utoaji wa nyimbo moja japo anafanya vizuri katika soko la sasa ila ingemuongezea zaidi wigo mpana wa biashara, mashabiki tunapenda kusikiliza nyimbo tofauti tofauti , tunapenda sana kumuona kingkiba akitupa nyimbo angalau3 kwa mwaka,

Mwisho wa yote respect kwako king of Africa Alikiba msanii wa kwanza anafanya vizuri hivi sasa Africa na bara la Asia na nchi za kiarabu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo mziki ambao mnaona hauend na wakati ndo umemweka hapo alipo nakupata mashabiki kibao wanao ukubal mziki wake, Binafsi namkubali king ashikirie hapohapo. Wasanii Wote hawawez wakaimba mziki wa aina moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom