MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa mi namkubali mwelewe na mleta mada tatizo lipo pale unapoitwa mfalme alafu mtaan wanatawala wengine yaan yeye ndo umkute labda top5,mzki wake ni mtam ila hatoi hitswakati ndo umemweka hapo alipo nakupata mashabiki kibao wanao ukubal mziki wake, Binafsi namkubali king ashikirie hapohapo. Wasanii Wote hawawez wakaimba mziki wa aina moja.
Silipendi hili neno sharobalo kichizibora hamieni kwa mjeshi huyo kibakuli saivi anapga qaswida tu alafu mwisho hapo umeandika utopolo mtupu
LINI ALIFANYA VIZURI SOKO LA AFRICA, SITAKI MANENO WEKA USHAHIDI HAPA.
Lini alikiba amewahi kuwa juu kwenye soko la Africa?Tuanzie hapa kwanza
KING hadi AUSTRALIA huko anakimbiza sema ndio hivyo hapendi show OFF mkuu katulia tu kimya...Haya maswali hayajajibiwa hadi leo tunaingia mitamboni.
Lini king K alifanya vizuri soko la africa?
Habari zenu wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale, kiukweli huyu msanii wenu alikiba almaarufu kama kingkiba the real voice siku hizi naona kabisa uwezo wake wa utunzi umeshuka sana, alikiba wa sasa sio yule Alikiba wa 2011 hadi 2015, yule ndio Alikiba niliekuwa namkubari alikuwa akitutolea vitu adimu sana, hauwezi kuifananisha mwana, Dushelele na dodo hau Mbio kwani utaona kabisa ni vitu viwili tofauti sawa kumfananisha mgambo na mwanajeshi, utunzi wa mwana, dushelele ndio ambao mashabiki tunauta sio kuanza kutuletea nyimbo za kawaida kama dodo, mshumaa, mbio na ule wimbo uliobuma baada ya kutoka, mvumo wa radi, sote tunamtambua alikiba ni mtu ambae anatumia akili sana katika kufanya kazi pengine ameamua kubadilika ili kuendana na soko la mziki wa kisasa anyway but anatakiwa hata mara moja moja atuletee nyimbo kama zile za mwana, mapenzi yana run dunia sio mbaya kwaajili ya kutupa furaha mashabiki wake tunaopendaga kazi zake,
Despite na utunzi wa sasa wa Alikiba ila bado anafanya vizuri katika soko la africa pengine ni kutokana na kuwa na mashabiki wazalendo japo anatuangusha na aina ya utunzi wake wa sasa ila ndio hivyo tunaamua kumsapoti hivyo hivyo pengine ipo siku atakuja kubadilika kutokana na vilio vyetu,
La mwisho suala la Alikiba kutoa nyimbo moja kwa miezi ni suala linalotuchukiza sisi mashabiki wa Alikiba, mziki hivi sasa ni biashara Alikiba inabidi ajaribu angalau kutoa nyimbo hata 3 angalau kwa mwaka sio mbaya kwani hii aina ya utoaji wa nyimbo moja japo anafanya vizuri katika soko la sasa ila ingemuongezea zaidi wigo mpana wa biashara, mashabiki tunapenda kusikiliza nyimbo tofauti tofauti , tunapenda sana kumuona kingkiba akitupa nyimbo angalau3 kwa mwaka,
Mwisho wa yote respect kwako king of Africa Alikiba msanii wa kwanza anafanya vizuri hivi sasa Africa na bara la Asia na nchi za kiarabu,
[emoji2][emoji2]dahalikiba hapendagi kiki tu,ana nyimbo zaidi ya 10 amezi upload private youtube....
Mimi nadhani hayo ni maneno tu ya mashabiki wake.Lini alikiba amewahi kuwa juu kwenye soko la Africa?Tuanzie hapa kwanza
Kwani wale watoto baada ya kutoka kwa kiba wametoa NGOMA NGAPI??..huko ambapo hawacheleweshwiUkweli kiba ni mtunzi mzuri ila kinacho msumbua kiburi hata hivo nawapongeza sana vijana wale kutoka kwenye lebo hiyo wangekufa masikini hakika wamefocas mbali sana kiba hawezi kuwatoa vijana kwa sababu hajielewi.dunia inaenda kwa kasi mno anafanya vitu kama ameridhika wakati ananjaa kali tu kumbuka nao umri haumusubiri umri nao unamtupa ameachwa mbaka na konde zaid ya maelfu ya maili kiba nn unasinzia.unarudi rivasi...
Alipochukua tuzo MTV akimgaragaza WIZKID kisha AFRIMMA akimgaragaza DIAMOND, then aje ikiondoka na tuzo zaidi ya 12 Wordwide ikiwemo video bora ya mwaka kupitia tuzo za SOUNDCITY haya unataka nn kingine.LINI ALIFANYA VIZURI SOKO LA AFRICA, SITAKI MANENO WEKA USHAHIDI HAPA.
MTV ulikuwa ya wizkid, afrima kachukua moja Tena kwa bahati ilihali miaka hiyo yote alikuwa kimya ajachukua hata moja, huku diamond akiwa kabeba MTV mbili kwa 1 day, afrima zaidi ya 10 na MVP soundcity (DIAMOND>kibamia ajuza)Alipochukua tuzo MTV akimgaragaza WIZKID kisha AFRIMMA akimgaragaza DIAMOND, then aje ikiondoka na tuzo zaidi ya 12 Wordwide ikiwemo video bora ya mwaka kupitia tuzo za SOUNDCITY haya unataka nn kingine.
Kenge mwenyewe eboooohKiba mbna anawaumiza sana wazee, kuna kina jux,barnaba,diamond kila aiku kibaaaa kiba kenge nyie.
We ndo kenge tena kenge jikeKenge mwenyewe ebooooh
Mkuu unapotea wizkid alipewa kimakosa tuzo wakaja kusahihisha kwa kumpa kiba MTV Ema mkuuMTV ulikuwa ya wizkid, afrima kachukua moja Tena kwa bahati ilihali miaka hiyo yote alikuwa kimya ajachukua hata moja, huku diamond akiwa kabeba MTV mbili kwa 1 day, afrima zaidi ya 10 na MVP soundcity (DIAMOND>kibamia ajuza)
Ndo kugaragazwa huko manake hadi anapewa yeye kimakosa si ina maana alikuwa mmoja kati ya wanaoshindania mzee mbona unajiwehushaMkuu unapotea wizkid alipewa kimakosa tuzo wakaja kusahihisha kwa kumpa kiba MTV Ema mkuu
Kugaragazwa kupi ngoja turahisishe tuzo mkononi kwa sas anayo nani??? Mbona ishu ndogo hiiNdo kugaragazwa huko manake hadi anapewa yeye kimakosa si ina maana alikuwa mmoja kati ya wanaoshindania mzee mbona unajiwehusha
Wewe ni kenge jike square, Tena square haswaWe ndo kenge tena kenge jike