Alikiba jitambue bhana

wakati ndo umemweka hapo alipo nakupata mashabiki kibao wanao ukubal mziki wake, Binafsi namkubali king ashikirie hapohapo. Wasanii Wote hawawez wakaimba mziki wa aina moja.
Kweli kabisa mi namkubali mwelewe na mleta mada tatizo lipo pale unapoitwa mfalme alafu mtaan wanatawala wengine yaan yeye ndo umkute labda top5,mzki wake ni mtam ila hatoi hits
 
bora hamieni kwa mjeshi huyo kibakuli saivi anapga qaswida tu alafu mwisho hapo umeandika utopolo mtupu
Silipendi hili neno sharobalo kichizi

Kipindi nasoma o level walikua wanawaoa masharobalo
 
Haya maswali hayajajibiwa hadi leo tunaingia mitamboni.

Lini king K alifanya vizuri soko la africa?
KING hadi AUSTRALIA huko anakimbiza sema ndio hivyo hapendi show OFF mkuu katulia tu kimya...
 
Ukweli kiba ni mtunzi mzuri ila kinacho msumbua kiburi hata hivo nawapongeza sana vijana wale kutoka kwenye lebo hiyo wangekufa masikini hakika wamefocas mbali sana kiba hawezi kuwatoa vijana kwa sababu hajielewi.dunia inaenda kwa kasi mno anafanya vitu kama ameridhika wakati ananjaa kali tu kumbuka nao umri haumusubiri umri nao unamtupa ameachwa mbaka na konde zaid ya maelfu ya maili kiba nn unasinzia.unarudi rivasi...
 
Hua nnacheka Sana , comments zenu nikimuangaliaga na yeye
SHOW OFF
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2] YAANI KANAKIBURII KALE KA MJOMBA
 
Kwani wale watoto baada ya kutoka kwa kiba wametoa NGOMA NGAPI??..huko ambapo hawacheleweshwi
 
LINI ALIFANYA VIZURI SOKO LA AFRICA, SITAKI MANENO WEKA USHAHIDI HAPA.
Alipochukua tuzo MTV akimgaragaza WIZKID kisha AFRIMMA akimgaragaza DIAMOND, then aje ikiondoka na tuzo zaidi ya 12 Wordwide ikiwemo video bora ya mwaka kupitia tuzo za SOUNDCITY haya unataka nn kingine.
 
Kiba mbna anawaumiza sana wazee, kuna kina jux,barnaba,diamond kila aiku kibaaaa kiba kenge nyie.
 
Alipochukua tuzo MTV akimgaragaza WIZKID kisha AFRIMMA akimgaragaza DIAMOND, then aje ikiondoka na tuzo zaidi ya 12 Wordwide ikiwemo video bora ya mwaka kupitia tuzo za SOUNDCITY haya unataka nn kingine.
MTV ulikuwa ya wizkid, afrima kachukua moja Tena kwa bahati ilihali miaka hiyo yote alikuwa kimya ajachukua hata moja, huku diamond akiwa kabeba MTV mbili kwa 1 day, afrima zaidi ya 10 na MVP soundcity (DIAMOND>kibamia ajuza)
 
MTV ulikuwa ya wizkid, afrima kachukua moja Tena kwa bahati ilihali miaka hiyo yote alikuwa kimya ajachukua hata moja, huku diamond akiwa kabeba MTV mbili kwa 1 day, afrima zaidi ya 10 na MVP soundcity (DIAMOND>kibamia ajuza)
Mkuu unapotea wizkid alipewa kimakosa tuzo wakaja kusahihisha kwa kumpa kiba MTV Ema mkuu
 
Mkuu unapotea wizkid alipewa kimakosa tuzo wakaja kusahihisha kwa kumpa kiba MTV Ema mkuu
Ndo kugaragazwa huko manake hadi anapewa yeye kimakosa si ina maana alikuwa mmoja kati ya wanaoshindania mzee mbona unajiwehusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…