santos mtn
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 348
- 369
hahhaha labda amfuate maana jamaa hiyo show itamkuta akiwa hukohukoDaaah Asisahau kwenda na Hamorapa tuu aseee maana ana ngoma mpya kali
Sio kwachuki iyokama namuona chai jaba alivyo nuna na mdomo wake kma jaba
si mpendi mm
Mondi kwke kawaida afu punguza utimu Mzee yeye amepata bahati bas tumwombee atuwakilishe vema cc sote ni watz acha chuki.kama namuona chai jaba alivyo nuna na mdomo wake kma jaba
si mpendi mm
Acha wivu wa kikeNaona hawa mashabiki wa kibakuli hua wana jitekenya na kucheka wenyewe
Naona ziara zenu zimewashinda sasa mnaanza kuvamia matamasha ya watu sasa
Kama ile ya mombasa
Naona hapo hata stage hato fika
Duh!!![emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]kama namuona chai jaba alivyo nuna na mdomo wake kma jaba
si mpendi mm
Hata ye hakupendi mbona.kama namuona chai jaba alivyo nuna na mdomo wake kma jaba
si mpendi mm
Good thing hakujui.....unamchukia mtu ambaye hajui kuwa unamchukia....yaani hajui una exist huku duniani....yaani hajui km paliwahi kuumbwa mtu km ww..... lkn sasa tukija upande wako kutwa kufuatilia headlines zinazomhusu ili tu uoneshe chuki kwake....poyeeekama namuona chai jaba alivyo nuna na mdomo wake kma jaba
si mpendi mm
Ahahahahaaaa tusha sanaDaaah Asisahau kwenda na Hamorapa tuu aseee maana ana ngoma mpya kali
Ttzo la Kiba dharau me fan wake ila jamaa Ana ngebe sana Yule.Domo mwenzke anajua kujipendekeza mpk bhas ila Ally kichwa ngumu.Hongera zake kijana sema achangamke atafute hata kolabo.