Alikiba, justin bieber, bruno mars ndani ya jukwaa moja

Naona hawa mashabiki wa kibakuli hua wana jitekenya na kucheka wenyewe
Naona ziara zenu zimewashinda sasa mnaanza kuvamia matamasha ya watu sasa
Kama ile ya mombasa

Naona hapo hata stage hato fika
Chuki tuu hakuna jipya.
 
Msinisemeee msinisemee eeh .....kiba huyo aliimbaga hivyo kabla ajaanza kusema YYooooooo
 
Mkuu hili tamasha limenyika tayari? Tupe mrejesho show alikuwaje
 
Yooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
asisahau kale kasauti kake
kanakosema
nyooooooooooooooooo
 
Jaman nadhan march 18 ilisha pita
Naona kimyaaa
 
Kiba kakacha shoo baada ya kuona Mars na Bieber ni wasanii wadogo.
 
Unajua kiba kapiga hiyo show. aliwafunika sana wakina bieber na bruno, mpaka jay-z alikuwa anataka kumsign, Ally k papiree akamwambia jiga umechelewa niko chini ya sony. Kwa vichekesho vingine kama hivi, please jiunge team kiba fans
 
Unajua kiba kapiga hiyo show. aliwafunika sana wakina bieber na bruno, mpaka jay-z alikuwa anataka kumsign, Ally k papiree akamwambia jiga umechelewa niko chini ya sony. Kwa vichekesho vingine kama hivi, please jiunge team kiba fans
Duuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…