Alikiba juu

Mandown

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2012
Posts
1,665
Reaction score
507
Jamani mwenzenu npo huku Helsink-Finland kikazi.... tumeingia kwenyw ngahawa kund tukaomba kupigiw nyimbo za kibongo..... jama wana wimbo wa ALIKIBA tu....."usintenge kama napenda kula"... tumedanso wimbo huo mpaka tumechoka.....!
 
Juzi nikiwa dubai napita nilifika pia kijimgahawa kwa akil ya kula.ni maarufu kwa watu wa mataifa ama wagen hasa kutoka afrika ya mashariki niliusikia wimbo wa diamond unaoitwa ukimwona
 
hili ndo jukwaa special for celebrites!! Napitaaa tuuu
 
Last week nilikua ktk mgahawa wa Nandoz mjini Lisbon nikasikia mwimbo wa zeze wa TID and then DDC mlimani park "Neema"
 
Ni kitu cha kawaida kwa wenzetu wakitegemea au kuona wageni wa nchi fulani kuwaburudisha na nyimbo za nchi zao,si zipo kwenye internet,nilikuwa Thailand baada ya kuonyesha passport yangu hotel jioni nilipokwenda kwenye mgahawa wao zilipigwa nyimbo kama tatu za Tz..
 
Na mimi Nilikuw mbinguni nikaingia kunywa chai mgahawa fulan hivi.. kwa vile tulikuw mataifa mengi. . Nikaomba kupigiwa nyimbo za dini... RC, ROSE MUHANDO... Zote za kiswahili zilipigwa
 
nipo kashenshero rubya naomba wimbo kiswahili unapigwa wimbo wa saida karoli.
 
niko mapumzikoni brunei hapa, tunapigiwa mchiriku wa omari omari mwanzo mwisho, na hata ndege tuliyokuja nayo hapa cathay pacific song lilikuwa ni moja tu yahya wa jide anaconda.
 
Mi nimefungiwa na jimama langu huku kigamboni toka juzi hata cjui dunia inaendaje. Kweli kuwekwa kimada balaa
 
mi nliendaga japan ktk mgahawa wa kiafrika nkasikia wimbo wa prof jizzle, 'hapo vp'...
 
Nilipiga mgahawa mmoja huko nchi za watu nikaomba nipigiwe bongofleva nikapigiwa 'chama chetu cha mapinduzi chajenga nchi'

Tuliserebuka mpaka asubuhi

Umeuaaaaa...au upo hapa nilipo nini?Maana ndo zao hizo!ahahaaa..
 
Haa basi kumbe sio ishu kusikia wimbo wa kibongo ughaibuni, kwahiyo tuzima mada bac
 
jamani mimi sijapata bahati ya kupaa nje..
Je? Hvi huko mahewa hakuna vilabu vya pombe kama ma comon,chang'aa...?
 
Reactions: amu
Mi nipo mbuga ya wanyama Mikumi. Nyimbo ninazosikia usiku huu wa manane kutoka porini ni Kinanaaaaa......Kinanaaaaa.....Kinanaaaaaaa...tuhurumieeeeee.....tuhurumieeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…