Alikiba kama ni dharau basi hizi hapa zimezidi

Alikiba kama ni dharau basi hizi hapa zimezidi

Haiwezi kubamba ....mchanganyiko wao wa sauti siyo kivile...wote wanaimba katika sauti kali za juu...
 
Tutaupata wapi Na wengine tuusikilize,hapa nahahaaaa...nitausaka kila kina mpaka niusikie.
 
Sijawai kudoubt uwezo wa Alikiba na Bella..wimbo lazima uwe mzuri sana wote wakali!
 
Back
Top Bottom