Sijui alimuibia mke[emoji134][emoji134]Nilijua lazima mkuu umtukane ali.
Hivi ni kwanini watu wenye ngozi nyeusi ni mara chache kukuta tunapena support ?
Sisi wazee wa ngumu tuna cmnt wapi
Ova
Ni wivu tuu...Sijui alimuibia mke[emoji134][emoji134]
Sio huku tu mkuuSio ngozi nyeusi.
Ni huku tanzania uswahili ndio umetujaa. Kwa sababu tunapenda kutambiana sasa ukipewa sapoti utafanikiwa kama yeye au utamzidi. Atamtambia nani tena?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni wivu tuu...
In gwajiboi voice
Huwa siwaelewagi hao[emoji23] hapa hapa. As long as tunazungumzia maendeleo biashara ya muziki nchini. kuna siku hip hop artist atafanya kama alichofanya diamond kumiliki taasisi kama hatakuwa na mawazo kama ya alikiba.
Ali Kiba beef na wcb ndy inamuweka kwenye pipeline[emoji23] hapa hapa. As long as tunazungumzia maendeleo biashara ya muziki nchini. kuna siku hip hop artist atafanya kama alichofanya diamond kumiliki taasisi kama hatakuwa na mawazo kama ya alikiba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli.
Huu ni mstari wa RozaySio ngozi nyeusi.
Ni huku tanzania uswahili ndio umetujaa. Kwa sababu tunapenda kutambiana sasa ukipewa sapoti utafanikiwa kama yeye au utamzidi. Atamtambia nani tena?
East coastSisi wazee wa ngumu tuna cmnt wapi
Ova
Haya maneno yako mwenyewe au umekopi kwa Da MangeBinafsi mimi sio mshabiki sana wa nyimbo za hawa wawili ila kwa nilichojifunza kuhusu hii inayosemekana bifu,ni kwamba ilisaidia sana kumuinua Ali kiba hata kama tayari alishakuwa mkubwa,kingine inaonekana Ali ananufaika zaidi na hapendi hii kitu iishe
Yeye kama kaamua kufanya mziki kama hobby aache wanaofanya kama biashara waendelee, sio kuweka weka majungu na hizi radio zinazomsupport.
ndo maana dada zako siku zote wanatafuta dawa wawe weupe ngozi kumbe weusi upo mpaka kwny ubongoHivi ni kwanini watu wenye ngozi nyeusi ni mara chache kukuta tunapena support ?
kwenye ukutaSisi wazee wa ngumu tuna cmnt wapi
Ova
Ukiwa na roho mbaya mkuu ndio unakuwa hivyo. Kifupi alikiba anaumia na mafanikio ya mond. Akiangalia yeye ameanza mziki miaka 10 kabla ya mondi. Hicho ndio kinamuuma. Uzuri mond ashampuuza.kweli kabisa mkuu. Kwa Tanzania nathubutu kusema kwamba Wasafi media & record label pekee ndo wametuprove wrong kuwa bifu ni bifu na biashara ni biashara so havifuatani pamoja. Kwa jinsi navyomuona Diamond yupo tayari kuruhusu Kings music wapige shoo wasafi festival na kulipwa vizuri tu kama wasanii wengine ila Alikiba hiko kitu hataki sasa hiyo ni akili au matope? yule jamaa akili hana, akae chini na professionals wamfunze biashara inakwendaje.
Kuna interview moja nilona alikiba anaojiwa. Alipotajiwa harmonize tu alitpka mbio huyo duh.Kwahyo kutoona hao kings music wakifanya inyerview wasafi ndo ushaconclude lwamba alikiba kawakataza??duuu
Kuna interview moja nilona alikiba anaojiwa. Alipotajiwa harmonize tu alitpka mbio huyo duh.