Alikiba kuisimamisha dunia August 25

Mimi sina timu yoyote ila akili ya watanzania inashangaza sana.

Hivi unafikiri Dunia ni Dsm, Nairobi na South Africa tu?

My God,
 
Dunia ikisimama mm hyo cku nashuka Tanzania napanda nchi nyingine... tumezidi unafik na chuki ambazo hazitupi faida.... kajisemea fid q....hawawazi kutengeneza kiba na mond wawili...wanataka kumshusha mmoja ili mwingine awe deal.....UPUUZIIIIIIIII
 
Ukitaka kucheza tafuta refa wa kukubebaaa! Ngoja tusubiri na si maneno
 
Anaachia LAANA? Hukuwa na neno lingine la kutumia au ulimaanisha nini? Sio mfwatiliaji wa haya mambo ya miziki ila kama hayo ndo mnayofuata, duh!!
 
Hawa mapoyoyo wa Kiba bila kudis upande mwingine hawasikiki, waache tu wahangaike.

Hivi huyo Idrisa ni mchekeshaji au...?

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mhhh Alikiba hajawahi kutoa nyimbo kwny siku aliyosema, nahisi hiyo siku itapita tu maana nimzee wa kuongeza siku
 
Dunia ikisimama mm hyo cku nashuka Tanzania napanda nchi nyingine... tumezidi unafik na chuki ambazo hazitupi faida.... kajisemea fid q....hawawazi kutengeneza kiba na mond wawili...wanataka kumshusha mmoja ili mwingine awe deal.....UPUUZIIIIIIIII
Mimi isimame tu maana sitaki kuzeeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…