kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
Umeshindwa kujipa ushauri kwa punyeto zako binafsiBiashara ndogondogo za vinywaji zimempa za uso, Mofaya imeishia tu kuonekana insta kithibitisho tosha kwamba huyu mcheza mpira wa kupigwa benchi hawezi biashara, alishindwa kuogelea mtoni ziwani atawezaje sasaa
Punguza wivu Mkuu. Na kuhusu mofaya kasema mda siyo mrefu zinaingia mtaani officially maana kulikuwa na mambo kidogo hayajakaa sawa.Biashara ndogondogo za vinywaji zimempa za uso, Mofaya imeishia tu kuonekana insta kithibitisho tosha kwamba huyu mcheza mpira wa kupigwa benchi hawezi biashara, alishindwa kuogelea mtoni ziwani atawezaje sasaa
Mmh kivipi hebu funguka.hahahaha mambo mengne yanachekesha
Hivi Mo doweji ana bidhaa inaa jina linaanza na "Mo"Mofaya ilifanyiwa figisu na MO DEWJ pale bandarini kisa zinafanana jina na kinywaji chake.mambo mengine hayasemwi ndo maana mi alipotekwa hata nliona bora tu make tajiri mkubwa kama yule hawez kuleta figisu kwa machinga kama KIBA
Mo energy mo colaHivi Mo doweji ana bidhaa inaa jina linaanza na "Mo"