kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
Habari za chini chini zinatanabaisha kuwa king kiba yupo kwny michakato ya kanzisha media yake, ambapo ataanza na radio kwanza then ndo TV itafaata.
Namtakia kila la kheri kwenye hili swala hii itasaidia kukuza soko la ajira na kupunguza idadi ya watu wasokuwa na ajira mtaani. Hail to the King kiba, Pop It In.
Namtakia kila la kheri kwenye hili swala hii itasaidia kukuza soko la ajira na kupunguza idadi ya watu wasokuwa na ajira mtaani. Hail to the King kiba, Pop It In.