Tetesi: Alikiba kuja na radio yake "king FM"

huyu jamaa kiukweli sio mbunifu kabisa yaani yeye mziki umemgaragaza,mofaya imemshinda sasa ameamua akopi na apest radio humu jf eti eeh muda si mrefu tutasikia na yeye amejirusha kutoka ghorofani kama yule chalii wa mwanza
Hahahahaaaa binadamu mna maneno
 
Kitaeleweka tu kila atapo pita mtandale naye lazima apite wasafi records, king records, diamond karanga, mofaya, mond live band tumooo... diamond kumanage wasanii, kibakuli nae huyo, wasafi festival...... naye...yumo, wasafi tv wasafi radio kibakuli nae yu aja ..... [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23] yajayo yanafurahisha
Ukitaka kibakuli azimie mwambie kumaliza ugomvi na mondi aiseee ugomvi wake... Diamond uishi miaka mingi mwaya la sivo role model wako kibakuli atafulia vibaya mno.
 
Tatizo jina la kunywaji limemuingiza kwenye mgogoro na kina mo energy kushinda hapo ni vigumu angebadilisha tu jina
 
Mofaya ilifanyiwa figisu na MO DEWJ pale bandarini kisa zinafanana jina na kinywaji chake.mambo mengine hayasemwi ndo maana mi alipotekwa hata nliona bora tu make tajiri mkubwa kama yule hawez kuleta figisu kwa machinga kama KIBA
Hahahahah nimependa hapo kwenye "....machinga kama KIBA."
.
.
Mfalme wa watu wewe unamuita machinga?
 
Biashara ndogondogo za vinywaji zimempa za uso, Mofaya imeishia tu kuonekana insta kithibitisho tosha kwamba huyu mcheza mpira wa kupigwa benchi hawezi biashara, alishindwa kuogelea mtoni ziwani atawezaje sasaa
Benchi?
Usawahi kuangali gemu yake hata moja?

Kiba yuko vizuri sana
 
Ni Mfalme kwenye tasnia ya muziki mkuu lakn katika biashara ya vinywaji bado ni chinga tu
Hahahahah nimependa hapo kwenye "....machinga kama KIBA."
.
.
Mfalme wa watu wewe unamuita machinga?
 
Sijajua huyu jamaa yetu anakosea wapi? inaweza kuwa anakosa washauri wazuri.....atafute wataalam wa mambo ya biashara ili mambo yaende ila hii kuokoteza ushauri kwa watu wa hovyo itamcost sana
Ni Mfalme kwenye tasnia ya muziki mkuu lakn katika biashara ya vinywaji bado ni chinga tu
 
Hairuhusiwi Kuiga Jina la redio nyingine,kuna redio ipo mkoani njombe inaitwa KING'S FM radio 104.1 njombe,92.9 Mbeya na 102.1 songea,so uyo jamaa aache kuiga majina ya biashara za watu,aliiga MO faya kutoka kwa MO dewji @mo energy drink,saizi anataka tena Kings fm/tv?inaonekana ni mkurupukaji huwa afanyi research,sasa nyie mafans msaidieni aanzishe brand unique Co kudandia vya watu asijekufungwa mkamsahau.
 
Mofaya ilifanyiwa figisu na MO DEWJ pale bandarini kisa zinafanana jina na kinywaji chake.mambo mengine hayasemwi ndo maana mi alipotekwa hata nliona bora tu make tajiri mkubwa kama yule hawez kuleta figisu kwa machinga kama KIBA
Acheni uzushi. Kama biashara ya vinywaji imewashinda, kaeni pembeni.

Ndio maana hata kwenye matangazo mnayotangaza wenyewe, mademu zenu hawataki MOFAYA wanataka MZINGA !!

Mo Dewji ni gwiji la marketer. Hivi mtu utaachaje 400 ML kwa Tsh 600 au 320 ML kwa Tsh 500 tena Energy yenye ladha nzuri ukanunue MOFAYA inauzwa BUKU na BUKU JERO.

Labda kwa kumuungisha tu jamaa kama shabiki yake tu.
 
Sawa mkuu hata we umesikika
 
Jamaa kila kitu anaiga ila amshukuru huyo anayemuiga mana si haba anapatapata
 
Kaka kiba nakutakia mafanikio mema tunasubiri redio hyo kama yanayo semwa ya kwel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…