playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Pafyumu 105000 ***** ya 50 tupu hatununui tunacheza na vi body sprayKwani yule wa pafyum kafanikiwa kwanza?
Hajawah sem ana ugomvi na yule bab mwenye mdomo mkubwaaaaa ila mdomo mkubwaaaa ndo mara amtaje huku mara kule mara apost hiki mara kile afu king katulia tu aoart from that biashara ya ku manage wasanii hajaanza diamond hata studio wasanii wengine wanamiliki wacheki navy kenzo na the industry before huo uchafu mnaouita wasafi record na wamemeneji wasanii akina wildad na huyo mdada wa kichaga so msitake kutuaminisha kwamba bwana mdomo mkubwa ndo huwa wa kwaaaaanza wengine wakaiga nyau nyie then king muda mrefu kabla ya huo uchafu mnaiuta wasa tv alikuwa na rockstar online tv ambapo tulioata shows zake na mambo mengine so isnt wonder kusikia anakuja na tv or whatever.Kitaeleweka tu kila atapo pita mtandale naye lazima apite wasafi records, king records, diamond karanga, mofaya, mond live band tumooo... diamond kumanage wasanii, kibakuli nae huyo, wasafi festival...... naye...yumo, wasafi tv wasafi radio kibakuli nae yu aja ..... [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23] yajayo yanafurahisha
Ukitaka kibakuli azimie mwambie kumaliza ugomvi na mondi aiseee ugomvi wake... Diamond uishi miaka mingi mwaya la sivo role model wako kibakuli atafulia vibaya mno.
MoEnergy.Hivi Mo doweji ana bidhaa inaa jina linaanza na "Mo"
Ila kwa kweli hata mm nilishangaa demu hataki MOFAYA anataka MZINGA.Acheni uzushi. Kama biashara ya vinywaji imewashinda, kaeni pembeni.
Ndio maana hata kwenye matangazo mnayotangaza wenyewe, mademu zenu hawataki MOFAYA wanataka MZINGA !!
Mo Dewji ni gwiji la marketer. Hivi mtu utaachaje 400 ML kwa Tsh 600 au 320 ML kwa Tsh 500 tena Energy yenye ladha nzuri ukanunue MOFAYA inauzwa BUKU na BUKU JERO.
Labda kwa kumuungisha tu jamaa kama shabiki yake tu.
ndio nyingi tuHivi Mo doweji ana bidhaa inaa jina linaanza na "Mo"
huyu jamaa kiukweli sio mbunifu kabisa yaani yeye mziki umemgaragaza,mofaya imemshinda sasa ameamua akopi na apest radio humu jf eti eeh muda si mrefu tutasikia na yeye amejirusha kutoka ghorofani kama yule chalii wa mwanza