Alikiba mwambie Diamond apatane kwanza na Baba yake ndio arudi kwako, Diamond ni mswahili na Mnafiki usimuamini

Alikiba mwambie Diamond apatane kwanza na Baba yake ndio arudi kwako, Diamond ni mswahili na Mnafiki usimuamini

Alikiba mimi kama shabiki yako naomba usimamie msimamo wako uleule usikubali kuyumbishwa na mtu mnafki kama Diamond, ambaye amekuwa akikupiga vijembe mara kwa mara huku akiigiza kuwa anataka kupatana na wewe na muwe kitu kimoja

Mwambie akapatane kwanza na baba yake mzazi ambaye anamchukia ndio arudi kwako, haiwezekani mtu ashindwe kumsamehe au kupatana na mzazi wake aliyemtoa kiunoni alafu aje kwako mtu baki tu ajifanye kuwa anataka mpatane

Hata kumpa mkono skuile ya msiba ulijishusha sana ,kwani ilibidi Diamond aanze kwanza kumpa mkono baba yake mzazi ndio aje kwako yule mtu ni mnafiki nakushauri kuwa nae makini
we fala lini amekwambia hapatani na baba yake?sema hana ukaribu kuz hakumlea.
 
nakubaliana naweye. Ikiwa Masogonge alitimuliwa kwo na baba yake akiwa umri mdogo kidato cha pili, na baadae wakawa peace tu na kuwasaidia wazee wake. Je kua dume zima bado lina bifu na baba.

Nimempa respect kubwa marehemu baada yakujua habari ya historia yake.
Masogonge ndio Nani na wewe[emoji51]
 
Diamond anahitaji kupatana na kiba zaid kwa kua bifu lina manufaa kwa kiba sana kuliko diamonds
So akipatana tu mjini hapa watakula wapi kina kiba!!!!so ndo mama wanahamu na wanalihitaji haswaa bifu.mwenzao hapendi kibiashara zake kuonekana ana ugomvi na yoyote
Lakin bwana madharau,kichwa cha panzi kiba ndo kwanza anafikiria tumbo lake kupitia bifu hilo
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani kupatana wapatane Korea Kusini na Korea Kaskazini kununa anune Marekani?! What a shithole uzi!!!
 
Kwani babaake hajamsamehe? Washasameheana kitambo kilichobaki ni kujutia makosa yake aliofanya ya kumtelekeza dogo na mamaake muache Sandra aendekee kula matunda Yule baba avune alichopanda
 
Halafu Ali Kiba anamuhitaji Diamond kuliko Diamond anavyomuhitaji Ali Kiba.
Najaribu kufikiri jinsi mDanganyika anavyoweza kuufahamu undani wa mtu mwingine kuliko muhusika mwenyewe.....

Ungesema Wema, Mobeto na wafananao....wanamuhitaji Domo zaidi kuliko yeye anavyowahitaji, ningeelewa.....!
 
Ki-msingi hakuna ugomvi kati ya diamond na baba yake. Kilichopo ni uelewa mdogo wa diamond. Diamond aliwekewa UKUTA na mama yake kwa kuelezwa(kupitia dhiki walizopitia) na kuaminishwa kuwa,zile shida zote,za kukosa Ada,viatu,uniform,chakula nk. Zilisababishwa na baba yake. Maneno hayo ukimueleza mtoto mdogo,ktk kipindi cha shida,hayamtoki!!

Kwa hiyo hata baada ya kukua,diamond aliendelea kuamini kile alichoelezwa na mama yake na amekishika hadi leo akiamini maisha yote mabaya aliyopitia yalitokana na kutengana kwa wazazi wake na baba kuondoka!!

Hili ni kosa la mama diamond kuweka ukuta(chuki) kati ya mtoto na baba. Lkn hakumueleza sababu za kutengana kwao. Diamond naye anafanya ujinga uleule kwa kumuadhibu baba yake,huku mafanikio yake wala hayatokani na mama yake. Mama yake hakuwa mwanamuziki kusema alilirithi,wala hayatokani na elimu aliyomsomesha. Shule hakumpeleka na hata darasani hakuwa na akili kutokana na lishe duni. Na hili la kukosa akili ndo linaendelea mpaka leo. Maana hata kukosa uwezo wa kutafsiri Jambo ni ukosefu wa akili. Kifupi mama yake na diamond ndo aliyemharibu diamond na yote anayofanya Domo kwa sasa ni matokeo tu..!!
 
Hivi kuna shabiki wa Kiba anayeweza kunijibu ni nini hasa so special alichonacho Kiba hadi Diamond awe na shida nacho?!

Kama kumbukumbu zangu zipo sawa; statistic pekee inayomweka juu Kiba over Diamond ni kuwa na mke pamoja na watoto 3 (inasemekana 4) kwa mama 3 tofauti!

Mbali na hiyo stats; kingine kipi?!
 
Hivi kuna shabiki wa Kiba anayeweza kunijibu ni nini hasa so special alichonacho Kiba hadi Diamond awe na shida nacho?!

Kama kumbukumbu zangu zipo sawa; statistic pekee inayomweka juu Kiba over Diamond ni kuwa na mke pamoja na watoto 3 (inasemekana 4) kwa mama 3 tofauti!

Mbali na hiyo stats; kingine kipi?!
Ukipata jibu nitag na mimi
 
Back
Top Bottom