Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we fala lini amekwambia hapatani na baba yake?sema hana ukaribu kuz hakumlea.Alikiba mimi kama shabiki yako naomba usimamie msimamo wako uleule usikubali kuyumbishwa na mtu mnafki kama Diamond, ambaye amekuwa akikupiga vijembe mara kwa mara huku akiigiza kuwa anataka kupatana na wewe na muwe kitu kimoja
Mwambie akapatane kwanza na baba yake mzazi ambaye anamchukia ndio arudi kwako, haiwezekani mtu ashindwe kumsamehe au kupatana na mzazi wake aliyemtoa kiunoni alafu aje kwako mtu baki tu ajifanye kuwa anataka mpatane
Hata kumpa mkono skuile ya msiba ulijishusha sana ,kwani ilibidi Diamond aanze kwanza kumpa mkono baba yake mzazi ndio aje kwako yule mtu ni mnafiki nakushauri kuwa nae makini
Masogonge ndio Nani na wewe[emoji51]nakubaliana naweye. Ikiwa Masogonge alitimuliwa kwo na baba yake akiwa umri mdogo kidato cha pili, na baadae wakawa peace tu na kuwasaidia wazee wake. Je kua dume zima bado lina bifu na baba.
Nimempa respect kubwa marehemu baada yakujua habari ya historia yake.
Haa !! Haaa !! [emoji1] [emoji1] [emoji1]Diamond ni Mswahili, Ali Kiba ni Mwarabu wa majambia
[emoji23][emoji23][emoji23]Diamond anahitaji kupatana na kiba zaid kwa kua bifu lina manufaa kwa kiba sana kuliko diamonds
So akipatana tu mjini hapa watakula wapi kina kiba!!!!so ndo mama wanahamu na wanalihitaji haswaa bifu.mwenzao hapendi kibiashara zake kuonekana ana ugomvi na yoyote
Lakin bwana madharau,kichwa cha panzi kiba ndo kwanza anafikiria tumbo lake kupitia bifu hilo
[emoji23][emoji23][emoji23]Bonge la point ila mashog@ wa madale watakutukana kweli
Biashara zipi labda?hapendi kibiashara zake kuonekana ana ugomvi na yoyote
Najaribu kufikiri jinsi mDanganyika anavyoweza kuufahamu undani wa mtu mwingine kuliko muhusika mwenyewe.....Halafu Ali Kiba anamuhitaji Diamond kuliko Diamond anavyomuhitaji Ali Kiba.
Ukipata jibu nitag na mimiHivi kuna shabiki wa Kiba anayeweza kunijibu ni nini hasa so special alichonacho Kiba hadi Diamond awe na shida nacho?!
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa; statistic pekee inayomweka juu Kiba over Diamond ni kuwa na mke pamoja na watoto 3 (inasemekana 4) kwa mama 3 tofauti!
Mbali na hiyo stats; kingine kipi?!
Biashara zipi labda?
Msosi wako huo maana si una akili za kukuu,mtoto wa kiume unakua na chuki na kijana mwenzio ujinga mtupuPumba