Mwenye link ninapoweza kuupata huu wimbo, wasanii wa bongo hawajifunzi kutoka kwa mwalimu wao Diamond, PR yao ni mbovu, hawana mpangilio, diamond akitoa nyimbo tuu unaikuta kila mahali baada ya dk. chache...hawana ubunifu wakilewa viroba wanasahau hata kama kuna wimbo ameitoa inabidi ipigiwe promo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.