Alikiba na Nuh Mziwanda waja na collabo ya mwaka - JIKE SHUPA

Alikiba na Nuh Mziwanda waja na collabo ya mwaka - JIKE SHUPA

yani alikiba namkubali sana ila kwa huo mchakato wa kolabo na hako kadogo janja amefeli yn,
 
Mwenye link ninapoweza kuupata huu wimbo, wasanii wa bongo hawajifunzi kutoka kwa mwalimu wao Diamond, PR yao ni mbovu, hawana mpangilio, diamond akitoa nyimbo tuu unaikuta kila mahali baada ya dk. chache...hawana ubunifu wakilewa viroba wanasahau hata kama kuna wimbo ameitoa inabidi ipigiwe promo
 
Back
Top Bottom