mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,162
- 3,088
hukumu yako iliidhaje?Mkuu kwani hapo alikiba alikuwa anawaangalia simba feki
Kumbe hukumu yangu ndo topic iliyopo mezani now eeh??hukumu yako iliidhaje?
acha matusi mkuu,kuwa na busara sasa unapanik na kutoa maneno makali ivo kwanin? wew ndo unaonsesha uteam hapMapovu ya nn wakati wale anaowaona pale ni simba kweli,mkafilwe mbele huko na u team wenu halafu sijui mnapataga nini kwenye hizi debate za kisenge,hata ukimuonesha tiffa picha ya simba na picha ya baba ake ukamuuliza yupi simba na yupi ndo baba yake kwa kaumri kake bado atakujibu bila utata,ila nyie mijitu mizima vishabiki mandazi mnakataa hao sio simba orijino kumbe swala hao!!!!!?????
Sorry mkuu kwa matusiacha matusi mkuu,kuwa na busara sasa unapanik na kutoa maneno makali ivo kwanin? wew ndo unaonsesha uteam hap
Kwa hiyo ulitaka aandike caption NAWAONA FISI ORIGINAL wakati wale ni Simba original... Ushabiki ukizidi sana mnapoteza hata common senseAfanye mambo yake aachane na chibu amezoea kupata kiki kupitia chibu
Teh teh tehSisi ni wanaume wa dar, ndo maana tunafuatilia mambo ya instagram