Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Amekupa shingapi umpigie chapuo, au wewe ndo alikiba NA pale unasema ni kundi msieeewe are you serious?Tuliokua Jana ukumbini au tunafatilia kwenye mitandao show nzima ya alikiba" Funga mwaka na king kiba" tulete mrejesho.
Nakiri tu kwamba alikiba ni talented professional musician na atabaki kuwa hivyo forever yeye na kundi lake
Kiukweli show ilipendeza watu walikuepo wa kutosha sana ,show ilikua ya kibabe na kizazi zaidi!
Kiukweli alikiba hastaili kulinganishwa na msanii yoyote hapa bongo.
Cha mwisho nilichogundua ni kwamba " alikiba hashindani na mtu ila watu ndo wanashindana na mziki wake'
Karibuni mlete mrejesho wa hiyo kabambee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kana ladha gani hako mkuu?
Ngoja nikatafute price je?Iko poa kichizi .. nko nayo hapa bado inanpa energy View attachment 981957
Ngoja nikatafute price je?
mbona price ipo juu sana? Au itashuka zikiingia sokoni?5000 tuu .. na ni kubwa inatosha.. 500 Ml
mbona price ipo juu sana? Au itashuka zikiingia sokoni?
Kila kitu anamuiga Diamond, jamaa ubunifu zero. Diamond kamboost sana la sivyo saa hizi angeshaacha muziki wenyewe.
Ngoja nifungue nako mwaka5000 tuu .. na ni kubwa inatosha.. 500 Ml
Injinia soma hiyo ndani ya MombasaWanachokifanya WCB huko Nairobi ni unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya Ali Kiba.
Wanachokifanya WCB huko Nairobi ni unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya Ali Kiba.
Nairobi - Mambo aliyozingua Diamond -Simba- Dangote - JamiiForumsWanachokifanya WCB huko Nairobi ni unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya Ali Kiba.
Wengine wooooote hawajaboostiwa akabooostiwa Ali kiba peke yake au sioKila kitu anamuiga Diamond, jamaa ubunifu zero. Diamond kamboost sana la sivyo saa hizi angeshaacha muziki wenyewe.