spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Huyu jamaa Ni zawadi tumepewa ituburudishe kwa mziki mzuriAseee. Kwa hii na barnaba nimeshindwa kujua mkali ni kama AND na sio FT.
Kumbe zile kelele za sadala, anatafuta kusikika atoe nyimbo ahahahhahah bongo nyosoSadala (Muuza Karanga) atanuna kumsifia sana Alikiba.
I hope hata yeye anajua Alikiba Ni murderer kwenye Bongo fleva .Hata yeye nafikiri huwa anasikiliza ngoma zake Kama sisi.alichomzidi Ni marketing promotion kwenye mziki wake jamaa anajitahidi (All in all tunaheshimu juhudi za kila mtu)Sadala (Muuza Karanga) atanuna kumsifia sana Alikiba.
Taste unique mbona wengi walikuwa nazo na wanaendelea kuwa nazo mfano Kuna jamaa anaitwa Msafiri Kondo, Feruzi, Fid q, Chindo man, Lord eyez, Saida Caroli, Badman, n.k, hakuna kipya au cha ajabu hapoTangu nimeanza kufuatilia mziki huu wa Kitanzania, Bongo fleva nimesikiliza nyimbo za wanamuziki wengi. Lakini huyu mwanamuziki Ana taste flani ukiwa unamsikiliza iko unique Sana. He knows how to sing, kiukweli tukiachana na drama au siasa kwenye mziki it's not a shame to say hata ambao wanamchukia they know ana kitu kikubwa so wanahofia uwezo wake.
Mimi binafsi nimejifunza kupenda mziki mzuri sio kupenda mwanamuziki ukija na sababu za kwamba haishi kistar, Hana madrama sijui ayo ndo biashara Mimi biashara zake hazinisaidii kitu Kama msikilizaji wa muziki napenda nienjoi mziki mzuri.
Shida yako ni nini hasa?..Taste unique mbona wengi walikuwa nazo na wanaendelea kuwa nazo mfano Kuna jamaa anaitwa Msafiri Kondo, Feruzi, Fid q, Chindo man, Lord eyez, Saida Caroli, Badman, n.k, hakuna kipya au cha ajabu hapo
Hao wote wanaimba vizuri mkuu.Ila nimemuongelea Alikiba Kama Ni exceptional kwa sababu ameanza game muda mrefu lakini mpaka leo hatuishiwi hamu ya kumsikiliza anavyoimba.He got something special huo ndo ukweli (very talented)Taste unique mbona wengi walikuwa nazo na wanaendelea kuwa nazo mfano Kuna jamaa anaitwa Msafiri Kondo, Feruzi, Fid q, Chindo man, Lord eyez, Saida Caroli, Badman, n.k, hakuna kipya au cha ajabu hapo
Alafu haimbi mitusi,au maneno ya ajabu ajabuKuna ngoma moja ya Darasa kamshilikisha King Kiba asee kwenye corus Kiba kaua,narudia tena Kiba kwenye corus kaua mbaya mbovu.Kiba ni mkali sana.
Hajawahi kukosea collaboEbana ile nyimbo alioshirikishwa na Navy Kenzo - Lini kule kaua kabisaaa
Hajawahi kukosea collabo
Somebody Singah ft AlikibaOtile Brown – In Love Ft. Alikiba
Budda..hili pini limesimama.Ebana ile nyimbo alioshirikishwa na Navy Kenzo - Lini kule kaua kabisaaa