ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Mbona tulikuwa tunawapenda wote, kuna wapuuzi walioanza kuwapambanisha hapo ndio tabu ilipoanza, kama unakumbuka kuna Fiesta moja alipanda Kiba akashangiliwa sana , bahati mbaya alipopanda Mondi alizomewa na kupigwa na chupa za maji, mambo kama yanaleta mfarakano sanaAlafu Mimi huwa sioni sababu za msingi kwanini tusiwapenda wote.
Mkuu ielewemitaa me sijui kwanini humpendi Alikiba Ila najua nyimbo zake unazielewa Ila utakua na issue personal labda sababu huwezi nambie alipotea Kama angekua alikua anatoa ngoma hazivumi sawa lkn Kama alitulia akawa hatoi ngoma maana yake alipumzika kufanya Mambo mengine iyo ipo duniani kote hata Alina jayz wanaweza kaa hata miaka 3 hajatoa ngoma lkn sio kwamba kapoteaDiamond alipewa support kwasababu ya braza wake Jones yule Dj wake pamoja na yule mkongo papaaa a lie mshika mkono na alikuwa anatafuta jina ili atoke, ila Kiba alishapata jina kisha akapotea alipata uhai tena Mara ya pili ili tu apambane na Diamond lakini walishindwa na wataendelea kushindwa
Mimi nampenda sana ila naweka record sawa wapo waliomzidi sema media haikutoa support ya kutosha kama aliyopata yeye, nikakupa mfano Feruzi na Prof j, halafu kuhusu kupotea huyo alipotea Ata R Kelly alipotea aliporudi wakina Treyz Song wakawa wanamkimbiza mpaka akasusa kushiriki kwenye tuzo akaona anadharirika, damu mpya ni tishio ogopa sanaMkuu ielewemitaa me sijui kwanini humpendi Alikiba Ila najua nyimbo zake unazielewa Ila utakua na issue personal labda sababu huwezi nambie alipotea Kama angekua alikua anatoa ngoma hazivumi sawa lkn Kama alitulia akawa hatoi ngoma maana yake alipumzika kufanya Mambo mengine iyo ipo duniani kote hata Alina jayz wanaweza kaa hata miaka 3 hajatoa ngoma lkn sio kwamba kapotea
Bonge moja la ngomaOtile Brown – In Love Ft. Alikiba
Nakubali mnoBonge moja la ngoma
[emoji23][emoji23]nmejikuta nacheka sana...anyways tumsameheEti "aliletwa kumshughulikia Diamond"..Alikiba kitambo sana anatamba Kenya,Uganda,Burundi na Congo huko.
Alikuwa ni Artist number moja kipindi hicho Diamond anauza mitumba Tandale huko..No wonder akawepo kwenye ile project ya One8 kuiwakilisha Tz.
Kwahiyo acha uzwazwa.
Na Alikiba ameletwa lini kupambana na Diamond?