Traveller X
JF-Expert Member
- May 2, 2017
- 271
- 305
Kilichonisukuma kuandika uzi huu ni baada ya juzi kati nilipoenda kutazama mechi ya soka pale uwanja wa sigara tabata, dah jamaa ni mtu peace sana yani hata ukimuomba kupiga nae picha hanaga makuzi kama wengine, Alaf anavyojichanganya na watu kama sio star,
Keep it up bro, ishi na watu vizuri na watu wataishi na wewe vizuri na kukuheshimu
Keep it up bro, ishi na watu vizuri na watu wataishi na wewe vizuri na kukuheshimu