Alikiba: Samahani mashabiki wangu kwa kuchelewesha video ya chekecha

Wala usiwe na haraka mbaba.Andaa taratibu na kwa umakini.muda ukifika utaiachia video tu hakuna tabu.k 4 real
 
Yy KIBA kawa nominated BET?

Umeshasikia kiba au mashabiki wake wakijitamba kuwa kiba aachane na tuzo za home??? Mnanangwa sababu nyinyi mashabiki andazi mlikuwa mkimdanganya domo kuwa aachane na tuzo za home, yeye wa kimataifa hahahhahahahahaahhaha domo liliponza kichwa. Aisee usisahau pigia kura Sauti sol,
 

Hahahah unasema hana anachokifanya?? Kiba si mtu wa matangazo na tambo za kijinga kama domo,, kwa hiyo domo ndo yuko busy siyo!!! Hahahahaha kiba is a silent killer. MSALIMIE MONDI
 
Nyimbo yenyewe mbovu sana, hiyo video bora asiitoe anapoteza tu ela zake
 
Poa Kei fo rili tunaisubiri kwa hamu tuchekeche kideoni maana tumekaa sana tunaisubiri!
 
ali kiba anahangaika sana angetafuta shughuli nyingine ya kufanya hayupo creative kabisa sijui kwa nini watu hawamshauri.
 
Eti haendi na wakati.Haya basi, hao wanaoenda na wakati wamefanya nini?
Kiba yuko unique, hafanyi mambo kwa kuiga na wala hafanyi mambo ili afanane na wengine.
Ndio maana namkubali namna hii.
Friend,kiba kafanya mistake katika hili la kuchelewesha video ni lazima ammbiwe ukweli.
 
Friend,kiba kafanya mistake katika hili la kuchelewesha video ni lazima ammbiwe ukweli.

k 4 real yupo unique... ni msanii peke ambaye anatoa audio bila video katika karne ya 21 halafu anaitwa msanii mkubwa... K 4 real
 
hivi mnaikumbuka video mbovuuuuuu kabisa ya cinderella ahahahahaha ... nyie endeleeni kumkurupusha awatolee kichupa kibovu kabisa kama cha cinderella au mwana
 
hivi mnaikumbuka video mbovuuuuuu kabisa ya cinderella ahahahahaha ... nyie endeleeni kumkurupusha awatolee kichupa kibovu kabisa kama cha cinderella au mwana

Vipi jamani tupeni link ya kumpigia mondi kura BET maana tuzo za Kill ni too local yeye yuko international zaidi....
Hahahahahahaaa
 
Vipi jamani tupeni link ya kumpigia mondi kura BET maana tuzo za Kill ni too local yeye yuko international zaidi....
Hahahahahahaaa

uzalendo mbele jamani,, mponde kwa vyote lakini si kwa tz kukosa nomination
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…