Alikiba sikuelewi hii swagger hii!

Alikiba sikuelewi hii swagger hii!

Planner

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2011
Posts
348
Reaction score
148
Nafurahia miziki ya bongofleva na wasanii wetu.

Ukiangalia Picha za Alikiba kwenye public appearance au hata show anapenda KUSHIKA AU KUWEKA mkono uelekeo zilipo sehemu za siri!

Hata kama ni swagger sidhani kama inaleta maana..binafsi namchukulia kama msanii mkubwa na sitegemei kitu kama hicho kila mara. Pia context yetu ni tofauti na ulaya au America, si lazima kila kitu tuige.

Ni mtazamo tu.
 
Nafurahia miziki ya bongofleva na wasanii wetu.
Ukiangalia Picha za Alikiba kwenye public appearance au hata show anapenda KUSHIKA AU KUWEKA mkono uelekeo zilipo sehemu za siri!
Hata kama ni swagger sidhani kama inaleta maana..binafsi namchukulia kama msanii mkubwa na sitegemei kitu kama hicho kila mara.pia context yetu ni tofauti na ulaya au America,si lazima kila kitu tuige.
Ni mtazamo tu.

We nawe huna la kufanya..eti huu nao ni uzi wa kujadiliwa? Mpssxxyyyy
 
url
 
Dushe lake zitoooo je anajipa support from time to time.
 
Back
Top Bottom