Yuko huru kufanya akipendacho!!!kipindi hiki chote sijaingia ig kwa ajili ya harakati hizi za siasa, ila kwa kuwa aliyeanzisha uzi ni mkereketwa mwenzangu basi naamini ni ukweli pasi na shaka na bila unafiki nasema taifa hili lina thamani kubwa kuliko yeyote yule, huyo ali itabidi akae tu pembeni vijana tuendeleze gurudumu hadi kufikia oct.25
PC
Hapa nilipo mpaka natetemeka huenda kuna hacher wameiba password
Hapa nilipo mpaka natetemeka huenda kuna hacher wameiba password
Yuko huru kufanya akipendacho!!!
As if anajali unasema nini au anakusikia,kama ulivyokua na maamuzi ya kumpenda yeye ukawacha wasanii wengine na yeye pia ana choice yake,usiumize akili yako am sure kuna mambo ya muhimu sana ya kufanya kuliko hili.Alikiba mi shabiki wako damu ila kwa huu utoto uliofanya insta wa kupost magufuli umenikera sana na kunifedhehesha, nipo najiandaa kufanya umamuzi mgumu juu ya hili.
yes indeed, afanye tu apendacho , nami ntafanya nipendacho pia maana tunapambana haswa kuhakikisha watu fulani wanaachia ngazi, kama yeye yuko upande wao nafikiri hatuwez kusafiri kwa kutumia boti moga.
PC
Alikiba mi shabiki wako damu ila kwa huu utoto uliofanya insta wa kupost magufuli umenikera sana na kunifedhehesha, nipo najiandaa kufanya umamuzi mgumu juu ya hili.
Masikini poleni....Bora mie CCM siipendi lakini nampenda Diamond, stress zikinizidia najipoza na nyimbo zake...Haya maisha ukiyachukulia serious unakufa kabla ya siku zako...Haya Dr nae anatoa le tamkoz Leo sijui watu watajinyonga?
Hawa wakina nifah mimi nilishawapuuza muda mrefu. Wana uwezo mdogo sana wa kuitazama dunia.
Teh Teh kawaweza kweliIla Kiba nimemkubali ana IQ kubwaaa, kavizia cyber crime law imeanza kufanya kazi ndo katoa msimamo wake...Haya wale mdomo choo tukanenii lock up iwahusu...