Innocizy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,736
- 1,056
Nimetazama hio post ya Ali kiba na nikagundua ali kiba amepost vile kutokana na influence fulani ya juu yake.
Na ndio maana hajaweka mbwembwe za aina yoyote zaidi ya hio caption.
Hio ni tofauti na diamond ambae kwa kutazama posts zake unagundua kwanza yupo kazini na pili anakipenda akifanyacho.
Ila kwa kumalizia naomba tuwaache tu wafanye wafanyayo ingawa wakifanya against na itikadi zetu inauma ila no way...
Kama ambavyo aunty Ezekiel akitoka kwenye kampeni za ukawa anakandwa kiuno na moze iyobo aliekua kwenye kampeni za ccm,bhasi hatuna budi waelewa tu na kuwavumilia hawa wasaniii...
Hasa ukizingatia siasa zenyewe za kiafrika ni za hovyo sana.
Na ndio maana hajaweka mbwembwe za aina yoyote zaidi ya hio caption.
Hio ni tofauti na diamond ambae kwa kutazama posts zake unagundua kwanza yupo kazini na pili anakipenda akifanyacho.
Ila kwa kumalizia naomba tuwaache tu wafanye wafanyayo ingawa wakifanya against na itikadi zetu inauma ila no way...
Kama ambavyo aunty Ezekiel akitoka kwenye kampeni za ukawa anakandwa kiuno na moze iyobo aliekua kwenye kampeni za ccm,bhasi hatuna budi waelewa tu na kuwavumilia hawa wasaniii...
Hasa ukizingatia siasa zenyewe za kiafrika ni za hovyo sana.