Barcelona763
Member
- Mar 9, 2018
- 26
- 21
Hadi wa Leo diamond hajawahi kukili alimfuta alikiba kwenye lala salama .
diamond agekuwepo wapi Kama si alikiba alimpa nafasi Bob junior amrekodi diamond. Bila international collabo diamond si chochote huwezi kumliganisha na alikiba. Mbona Ana mwelekeo katika muziki wake anashindana na aslay Nani ametoa nyimbo yingi kwa mwaka na ujifunzi lolote toka nyimbo zake . Wasanii Kama mwanafa hajafanya international collabo bado yupo msanii Bora wa bongo flava . Alikiba anabadilisha taswira ya bongo flava ambayo huwezi kumcopy ukimcopy itajulikana ashafanya muziki na live band diamond hajawahi na muhimi Sana mbona diamond hajawahi kufika level yake . Mwisho nimejifunza mengi kuhusu muziki kwa sababu ya alikiba Asante Sana King kiba .wachache wataelewa ninachozungumza hapa .
diamond agekuwepo wapi Kama si alikiba alimpa nafasi Bob junior amrekodi diamond. Bila international collabo diamond si chochote huwezi kumliganisha na alikiba. Mbona Ana mwelekeo katika muziki wake anashindana na aslay Nani ametoa nyimbo yingi kwa mwaka na ujifunzi lolote toka nyimbo zake . Wasanii Kama mwanafa hajafanya international collabo bado yupo msanii Bora wa bongo flava . Alikiba anabadilisha taswira ya bongo flava ambayo huwezi kumcopy ukimcopy itajulikana ashafanya muziki na live band diamond hajawahi na muhimi Sana mbona diamond hajawahi kufika level yake . Mwisho nimejifunza mengi kuhusu muziki kwa sababu ya alikiba Asante Sana King kiba .wachache wataelewa ninachozungumza hapa .