yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,897
- 3,336
Kuoa nadhan kufunga ndoa. Unaweza ukawa na utitir wa watoto ilihali bado haujaoa (kuwa ktk ndoa)Hakuoa mapema wakati ana utitiri wa watoto nankila mmoja ma mama ake???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuoa nadhan kufunga ndoa. Unaweza ukawa na utitir wa watoto ilihali bado haujaoa (kuwa ktk ndoa)Hakuoa mapema wakati ana utitiri wa watoto nankila mmoja ma mama ake???
Elimu yako una2mia KUMJADILI.Elimu aliyopata shule ilimsaidia kutooa mapema, mbali na hilo hakuna chochote.
Ali Kiba upepo wake umeisha ni ngumu kumpambanisha na msanii wa kimataifa Diamond.
Mkuu hivi wewe na yule jamaa mwenye ID ya Viatu vya Samaki ni mtu mmoja au?Ali Kiba upepo wake umeisha ni ngumu kumpambanisha na msanii wa kimataifa Diamond.
Ndiyo mkuu, nilibadili jina tu.Mkuu hivi wewe na yule jamaa mwenye ID ya Viatu vya Samaki ni mtu mmoja au?
Sawa hivi kumbe inawezekana kubadili jina humu? Au inabidi ufungue ID mpya?Ndiyo mkuu, nilibadili jina tu.
Inawezekana kubadili cha muhimu ni kuzungumza na uongozi.Sawa hivi kumbe inawezekana kubadili jina humu? Au inabidi ufungue ID mpya?
Kiba Mzee mondi ndo nini?Jaama yupi Sasa mkuu. Mondi au kibakuli[emoji15]
Ahaaaaaaah sialisema hapendi showoff...?imekuwaje tena mimi nilizania wataangalia tu kingmusic daaaaah kaanza kufuria mzeeUkiachana na u Tim huyu bwana anapendwa na watu sema hajui namna gan ya kufanya biashara ili kuendana na kas ya mashabiki
Napokea maoni yenu View attachment 1274306View attachment 1274307View attachment 1274308View attachment 1274310View attachment 1274318
FactAli Kiba upepo wake umeisha ni ngumu kumpambanisha na msanii wa kimataifa Diamond.
Sasa mbona umeedit weka ile ya watu 10Wala sija mpambanisha nijaribu kuweka sawa kua hajui kufany bizness