Alikiba

Shaibu Hiwalisi

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2017
Posts
603
Reaction score
582
Alikiba ni bonge la msanii hapa tanzania na afrika mashariki kwa ujumla, ni mbunifu, aibi mashairi wala melody kwa mtu yoyote yule. Hua anakaa kimwa mda mrefu na anakuja na kitu kizuri zaid na ni cha levo ya kimataifa. Viva kingkiba.
 
Reactions: PNC
Kweli benge la msanii.....ila umesahau hii seduce me ilikuwa tumsikie neyo ila mr.pasua ndonga alivyojawa na dharau akamtupia kule aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…