AlikibaVEVO vs Diamond YouTube

HAPA NDO NAAMINI KUNA WATU WANAFKIRI KWA KUTUMIA MAKA."####OO .......DIAMOND AKIFANYA OOOH KANUNUAA....IWE IVO ICWE HIVO.THAT MAN IS EXTRAORDINARY....ATA KAMA KWELI KANUNUA VIEWERS ....BAC NI MUTOTO YA MUJINI.....
Basi msiseme Domo kavunja rekodi ya AlikibaVEVO
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Alikiba una "Mafansi" wajinga wajinga sana. Akili zao ni Za kushikiwa na Mange.
NI AIBU KWA KIJANA RIJALI KUOMBA KUTOMASWA TOMASWA (seduce me). Ni viashiria vya Tabia Chafu.
You too smart dada endelea kum seduce King
 
Mkuu kwanini unatumia nguvu nyingi mwisho wa siku unaaibika??? Tumia data kupinga hoja.. Kila muda unaambiwa marry you ina views 16 mil huko huko vevo ila bado umekalia majungu.... Au unahisi marry you iko wapi Facebook ya bure??
Mbona unahamisha Magoli, marry you. haikuvunja rekodi 1 m views ndani ya 48 hours. Hapa tunaongelea rekodi ya kufikisha 1 M ndani ya 48 hrs, upooooo?
 


Kama alikiba ana mashabiki wenye mitazamo hii na kuendeshwa na hulka za mangekimambi si haba ndio maana huyo Domo anamzidi maendeleo huyo kiba,

Hata VEVO views zinanunuliwa tuu
 
Nachukia sana kutumia mawazo ya mtu kucopy na kule hapa kana kwamba wewe ndiye uliyewaza jambo hili.Halafu ukiulizwa swali dogo tu kwamba unajua mastaa wangapi wakubwa ambao hawako vevo na wanatumia u tube tu na wana viewerz kibao, utarudi tena insta kuangalia mange amejibu nn nawee ulete hapa.

Za kuambiwa changanya na zako.
 
Tatizo watanzania tunapenda kuendekeza chuki, mbona Ali kupitia nyimbo yake ya seduce me alipata views nyingi within mda mfupi na hakuna aliyesema habari za kununua views? au kwa sababu mondi hakuwa promoted na akina Mange ndio hawezi pata hao viewers? mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. tatizo letu tunapenda kuendekeza chuki hasa pale tunapoona mtu anafanikiwa. Ali anajua na Mondi anajua na wote wanaiwakilisha Tz
 
Yaani ni sawa na kusema

SHULE YA MSINGI NA KITUO CHA ELIMU YA WATU WAZIMA
 
Chibu atawapa sukari aisee bahati mbaya sana nashangaa ali kushindana na mond kwa views, labda niulize

KATI YA KIBA NA MOND NANI ALITAKIWA KUWA ANAVUNJA RECORD ZA MWENZIO UKIZINGATIA UMRI WAO KWENYE MZIKI?
Nijibuni then tueleweshane kidogo.
 
Ila macho yanaona kuwa Diamond ni tajiri zaidi ya Alikiba, kama feke views zinampatia mtonyo, sioni tatizo.
 
Umeshaitazama seduceme lakini?
 
Chibu atawapa sukari aisee bahati mbaya sana nashangaa ali kushindana na mond kwa views, labda niulize

KATI YA KIBA NA MOND NANI ALITAKIWA KUWA ANAVUNJA RECORD ZA MWENZIO UKIZINGATIA UMRI WAO KWENYE MZIKI?
Nijibuni then tueleweshane kidogo.
Umri wa akili au umri wa kuzaliwa? Fafanua aisee.
 
Halaf kwa taarifa tu fupi hata vevo pia mtu anaweza kununua views. Hebu acha fitna zisizo na mpango
 
team kiba mna tabu sana huyu kiba level zake ni kina nuhu mziwanda, timbulo, na kina best naso. diamond sio level zake sasa
Ina maana wewe una akili sana zaidi ya Sony Music Entertainment na Rockstar waliompa endorsement Alikiba?

Au wewe ni una weledi zaidi ya waandaaji wa Music wanaompeleka Alikiba America na Ulaya kwenye Shows?
Acha ubazazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…