AlikibaVEVO vs Diamond YouTube

AlikibaVEVO vs Diamond YouTube

We pimbi uwe unajiongeza basi sio unaropoka tu, hiyo 16 m watu walikuwa wanamuangalia neyo ndio maana zimefika hivyo,hata huu hallelujah watu wanaingia kuangalia Morgan heritage wameimba nini ndio maana view's mbali mbali duniani wanaingia kuangalia wameimba nini magwiji hao duniani, ni wimbo wakawaida sana sio mzuri kuliko hata eneka na zilipendwa,zaidi video ndio nzuri nyimbo ime score 40%.
hivi sauti soul ft alikiba ile ngoma yao yenye zaidi ya mwaka sasa in viewers ngapi?
 
KIBA SI KAWEKA RECORD SIO CHINI YA MBILI 1. KUWA NA VIEWERS WENGI NDANI YA MUDA MFUPI, PILI VIDEO YA AFRIKA MASHARIKI ILIYOPATA VIEWERS WENGI MSANII AKIWA PEKE YAKE(SOLO). MAMBO MENGINE NI KAMA IFUATAVYO KATIKA UWEKEZAJI KAMA TUNAPEWA VITABU VYAO NADHANI ALI KIBA ANA INVEST KIDOGO ANAVUNA KIKUBWA. DIAMOND ANA INVEST NYINGI ANAVUNA NYINGI LAKINI KASI NI NDOGO. SIDHANI KAMA GHARAMA ZA VIDEO FIRE, ENEKA,HISTORY ZIMESHARUDI NA SASA HALELUJAH. THATS WHY UNAMWONA SANA DIAMOND KATIKA MEDIA KULIKO ALI CUZ WANATOFAUTIANA NAMNA YA UWEKEZAJI,
Mosi, capital letter means shouting, so stop shouting for no reason!

Pili, mashabiki wa Kiba kwavile hamna rekodi ndo mmebaki kujitengenezea rekodi wenyewe! Mara oh, ndie mwenye views wengi Vevo, mara oh, video zake ziko hivi mara vile!

Eti video ya msanii wa Afrika Mashariki iliyopata views nyingi akiwa peke yake! Hakuna chart kama hiyo duniani! Narudia, duniani hakuna chart wala tuzo ya mtu aliyefanya kazi peke yake kwahiyo acheni viroja!!

Tatu, kwamba eti huyu ana-invest nyingi na yule ana-invest kidogo ni kigezo kingine cha hovyo cha Team Kiba kwa kudhani views nyingi za Diamond zinatokana na video zenye gharama!!!

And trust me, hizo video za Kiba unazodhani sio za gharama sana basi kwenye vitabu usishangae ukakuta ndio very expensive kuliko video za Diamond! The reason ni kwamba, kazi za Kiba zinapitia kwenye official documentation za Sony! Unaweza kukuta script imeandikwa na mtu mwingine na hapo charge yake itakuwa mara 10 ya scripts za Diamond zinazoandikwa kisela tu!

Hata kama ameandika mwenyewe, unaweza kukuta inapitishwa kuwa polished! Hiyo gharama ya ku-polish peke yake inaweza kuwa mara mbili ya original script za akina Diamond!

Make Up Artist atakuwa ni yule very official na ma-invoice kibao wakati Diamond kazi zake hazina hayo maujinga! Na Label kubwa wanafanya hivyo makusudi ili kupunguza mapato ya msanii na ndio maana wasanii wengi chini ya label huwa wanalalamikia!

So man, don't talk about costs kwa sababu unaonekana hujui how these things work!


Diamond anasikika sana kwenye media sio kwa sababu eti anatengeneza video za gharama bali anajiamini! Haogopi kutoa ngoma! Mashabiki wa Kiba mnajidanganya kwamba ngoma za Kiba zinaishi kumbe ukweli ni kwamba hajiamini! Alipotoa Aje akabaki kuitengenezea remix tu kwa sababu hakuwa na uhakika wa kutoa ngoma ya kuifunika Aje and of course, hata hii Seduce Me ni full promo lakini haifiki hata nusu ya Aje!!

Diamond haogopi kwamba ngoma itafanya vizuru au hapana! So long ana track, ata-release tu kwa sababu that's how wasanii wanaojiamini ndicho wanachofanya!

Hata Dogo Slay anapiga weka bandua far away from Kiba! Mwaka huu peke yake ameachia ngoma tatu au nne! Unataka kusema Dogo Aslay anawekeza kuliko Kiba?!

Baada ya Dogo Aslay kuachia ngoma mfululizo, mwana Yamoto mwenzake Beka Flavor akasema wazi kwamba Aslay akiendelea na hii tabia na yeye ataanza kuachia ngoma bila kujali ikiwa Aslay ametoa ili wakutane huko huko! Baada ya hiyo kauli, haikupita wiki Dogo Aslay akaachia ngoma nyingine kuonesha haogopi ushindani!!!

Ali Kiba hana gut ya aina hiyo!
 
We pimbi uwe unajiongeza basi sio unaropoka tu, hiyo 16 m watu walikuwa wanamuangalia neyo ndio maana zimefika hivyo,hata huu hallelujah watu wanaingia kuangalia Morgan heritage wameimba nini ndio maana view's mbali mbali duniani wanaingia kuangalia wameimba nini magwiji hao duniani, ni wimbo wakawaida sana sio mzuri kuliko hata eneka na zilipendwa,zaidi video ndio nzuri nyimbo ime score 40%.
Kwahiyo kama kuna Neyo ndo Views hawawezi kununuliwa?! Nyie jamaa mna viroja!!!

Kwamba eti wamekuja kuwaangalia Morgan Heritage ni kiroja cha mashabiki wa Kiba kinachotokana na kutofahamu muziki wala kuchambua mambo kwa kutumia akili za kawaida!!

Ngoma ya Hallelujah imebamba kupitia social networks kwa maana, wanaotumia social networks ndio wa kwanza kufahamu. Aidha, wakati Diamond Platnumz ana Followers 4Million (Plus), Morgan Heritage wana followers chini ya laki na nusu!!!

Kwahiyo unaaamini kabisa hao views wanatoka kwa Morgan Heritage wenye followers wasiofika hata laki 2?! Wamepata wapi taarifa za kwamba Morgan Heritage ameshirikishwa ngoma?

Angalia posts za nyuma za Morgan Heritage! Comments hazifiki hata 50 lakini zilizohusu ngoma ya Diamond ndio zenye comments nying

But even more important, mwaka jana Morgan Heritage walichukua Grammy Awards kupitia Reggae na ngoma yao ambayo ilibeba album ni Wanna Be Loved!


Hiyo ngoma hata Views laki moja haijafika!!!!

Subscribers hawajafika hata elfu 10!!!

Moja ya ngoma zao zingine zilizofanya vizuri ni Selah lakini na yenyewe hata views 1M haijafika!!

Reggae Night ni 2017 hit na hadi sasa ina views chini ya laki moka ingawaje ni ya tangu January!

Perfect Love Song ya mwaka 2013 nadhani ndiyo yenye Views wengi zaidi lakini na yenyewe hata Views 3Million haijafika!

Sasa hao mashabiki wa Morgan Heritage waliojaza Views kwenye Hallelujah how come washobokee ngoma walizoshirikishwa badala ya ngoma walizofanya wenyewe?!

Tumieni common sense kujenga hoja manake kinyume chake mnaonekana viroja!!!
 
Kwahiyo kama kuna Neyo ndo Views hawawezi kununuliwa?! Nyie jamaa mna viroja!!!

Kwamba eti wamekuja kuwaangalia Morgan Heritage ni kiroja cha mashabiki wa Kiba kinachotokana na kutofahamu muziki wala kuchambua mambo kwa kutumia akili za kawaida!!

Ngoma ya Hallelujah imebamba kupitia social networks kwa maana, wanaotumia social networks ndio wa kwanza kufahamu. Aidha, wakati Diamond Platnumz ana Followers 4Million (Plus), Morgan Heritage wana followers chini ya laki na nusu!!!

Kwahiyo unaaamini kabisa hao views wanatoka kwa Morgan Heritage wenye followers wasiofika hata laki 2?! Wamepata wapi taarifa za kwamba Morgan Heritage ameshirikishwa ngoma?

Angalia posts za nyuma za Morgan Heritage! Comments hazifiki hata 50 lakini zilizohusu ngoma ya Diamond ndio zenye comments nying

But even more important, mwaka jana Morgan Heritage walichukua Grammy Awards kupitia Reggae na ngoma yao ambayo ilibeba album ni Wanna Be Loved!


Hiyo ngoma hata Views laki moja haijafika!!!!

Subscribers hawajafika hata elfu 10!!!

Moja ya ngoma zao zingine zilizofanya vizuri ni Selah lakini na yenyewe hata views 1M haijafika!!

Reggae Night ni 2017 hit na hadi sasa ina views chini ya laki moka ingawaje ni ya tangu January!

Perfect Love Song ya mwaka 2013 nadhani ndiyo yenye Views wengi zaidi lakini na yenyewe hata Views 3Million haijafika!

Sasa hao mashabiki wa Morgan Heritage waliojaza Views kwenye Hallelujah how come washobokee ngoma walizoshirikishwa badala ya ngoma walizofanya wenyewe?!

Akikujibu nitag
 
Unafikiri watakuelewa basi.....wameng'ang'ania vevo, vevo, huku wakisahau kuwa vevo ipo ndani ya YouTube yaani bila YouTube huwezi ku access vevo. Na mond atakuja awafunge midomo siku akiachia ngoma yake mwenyewe as solo artist na kuvunja rekodi yake aliyoiweka kwny hallelujah.
Kwani hawafahamu kwamba hata akitoa as solo bado anawakimbiza!!!

Nitampata Wapi kaifanya peke yake na ina Views 15.5 Million! Hakuna ngoma hata moja ya Kiba iliyofikisha hiyo idadi!

Mdogomdogo ina Views 11.6 Million! Hii ndiyo inafanana idadi ya Views na Mwana ya Ali Kiba ambayo ndio ngoma peke ya Kiba kuvuka 10 Million Views.

Utanipenda kafanya peke yake na inakaribia Views 11 Million. Ni Mwana peke yake kutoka makabati ya Kiba ndiyo inaipita Utanipenda!!!!

Mawazo ni moja ya hit zake za zamani lakini ina Views karibu 4Million, Moyo wangu zaidi 3.6M, Kamwambie 2.8M lakini sidhani kama kuna hit yoyote ya Kiba ya miaka ile inayofikisha Views 3M.

Halafu kama wanadhani kumshirikisha msanii wa nje ndo kupata views wengi sijui kwanini hadi leo Aje haijafika hata Views 10 !!!
 
Yaani mtu mzima kabisa unashikwa akili na Mange na unashindwa kufikiria kabisa, Seduce me imetoka na matangazo na promotion kila kona na ikawa na trend kubwa sana, kisha kukawa na Zilipendwa ya WBC ambayo haikuwa na promotion yoyote na ikawa inapanda yenyewe polepole, swali la kujiuliza kwa nini Diamond hakununua viewer ili haishinde Seduce me?, yaani uwezo wa kununua viewer anao lakini akakubali seduce me iwe na viewer wengi, leo katoa Hallelujah ambayo haina mpinzani sokoni ndio ananunua viewer?

Mange ana wivu wake Binafsi na chuki kali sana kwa diamond, so usiingie kwenye mkumbo kwa vitu vya kijinga
Shikamoo Kaka mkubwa! Manake pale ilikuwa ndo pa kuitia adabu Seduce Me!!
 
Akikujibu nitag
Na kamwe hatajibu!! Sio kwamba ana kiburi ndio maana hatajibu bali hana ubavu wa kujibu hoja anazopewa!!Huyu jamaa mara ya kwanza alijificha kwenye kichaka cha dini; kwamba Diamond anadhalilisha Ukristo!!! Nikadhani ni kweli mkereketwa wa dini yake na hivyo hakupendezewa matumizi ya neno Hallelujah!! Lakini baadae nikagundua kumbe ni Team Kiba aliyejificha kwenye kichaka cha dini!!!

Na hilo la matumizi ya neno Hallelujah hadi sasa hajanijibu ingawaje saa kadhaa zimeshapita!!!
 
We jamaa ndo unaonekana hujui lolote kuhusu Vevo na Youtube!! Yaani kwako wewe Vevo ndo hospitali ya Rufaa na Youtube ni Zahanati?

Btw, hivi kabisa unaamini kwamba unaweza kununua views Youtube ukabaki salama?! Hivi unafahamu Youtube ni ya Google na wana mifumo nyoko ya ku-track suspicious activities kwenye youtube accounts pamoja na blogs zinazotumia Google Adsense?!

Wewe nadhani ni wale wanaoamini kila kinachosemwa na Mange ambae kutokana na umbumbu wake anawaambia watu wamripoti Diamond Youtube eti kwamba ananunua views.

Kwa mtu anayeelewa pale ndo amemuona ni ju'ha asiyefahamu chochote kuhusu Youtube cuz' Youtube au Google hawana sababu ya kusubiri mtu atoe taaarifa kwao wakati tayari wana mfumo unaofanya hiyo kazi.

Views 2M kwa siku moja hapo bots za Google zimeshatembelea sana ile video na kama kungekuwa na fake views hivi sasa account ama ingekuwa ishakuwa blocked au ku-fyekwa fake views wote!!!

Halafu haya mambo ya eti VEVO na Youtube mnajitia aibu manake mnaonekana hamfahamu chochote kuhusu hiyo VEVO !!

Tanzania huweziku-access Vevo unless kama unatumia VPN! The so called Vevo account are just mirror account iliyopo Youtube na ndio maana hata mtu wa Nanjilinji anaweza ku-access.

Vile vile nawe unaonekana hujui lolote kuhusu Youtube ndo maana umefikia kusema msanii analipwa kutokana na views anaopata! Huo ni uongo mtupu na ndio maana umefikia kuamini hayo mengine!!!

Sababu kubwa ya kuasisi Vevo wala haina uhusiano na Views au kununua bali UMG & Sony walianzisha VEVO kwa ajili ya wasanii wao kwa kile kilichoonekana issue za hatimiliki kwa Youtube ni kimeo!!

But all in all, Diamond alitumia Vevo Account mara moja na hapa chini ndo stats za hiyo account!
View attachment 599452

Kama unavyoona, Marry Me ina Views 16.5M lakini muhimu zaidi, ingawaje hiyo akaunti kaitumia mara moja tu lakini ina Subscribers 77K.

Kinyume chake, Kiba ametumia Vevo mara mbili lakini ndo kwanza ana subscribers 75K
View attachment 599458
Sasa kama unaamini Kiba anaburuzwa kwa sababu yeye anatumia Vevo na Diamond anatumia Youtube basi unatakiwa kutafakari upya jinsi unavyoyaelewa haya mambo!!!!

FYI, pasipo na Youtube VEVO is nothing na ingekimbiwa na watu at least for now! Ingekimbiwa kwa sababu sehemu nyingi Vevo haipatikani na ndio maana wanatumia mirror account through Youtube channel!
Kapokee book 7 yako kwa domo maana sio kwa kuingia chaka huku. Yaani wewe ni chaka la shamba, hakuna unachokijua chochote kwenye ulimwengu wa hacking zaidi ya kupigiwa theoretical stories.
 
mmmmh aiseee kweli mfa maji haishi kutapatapa Kama alikiba na vevo yake ivi mkuu ebu badilika hao VEVO wanamlipa mtu sasa Kama alikiba analipwa ila kwa diamond hajathubutu unahisi mond akiingia vevo kiba ataonekana kweli??kumbe unaangalia views??kumbuka hata kwenye mikutano ya kisiasa wanaokuja pale sio kwamba wote ni watu wako wengine wanakusikiliza na kukucheka tu!!,
Mwambie Mond "AJE" pekee yake VEVO asije na collabo/featuring.
 
Sasa kama ni hivyo usiseme Domo tajiri kuliko Alikiba coz kama ni nyumba hata huyo Kiba anazo, kama ni magari hata Alikiba anayo. Tofauti ni kwamba mmoja anapenda masifa kutangaza, na mwingine hajitangazi
Mkuu akuna superstar asie julikana vitu alivyonavyo, ata ukificha watu watajua tu...........
 
Mkuu akuna superstar asie julikana vitu alivyonavyo, ata ukificha watu watajua tu...........
Unafawa Mali za mastàa wangapi hadi unatoa hitimisho hilo.We futwatilia mziki wake mengiñe sio type yake
 
Yaani mtu mzima kabisa unashikwa akili na Mange na unashindwa kufikiria kabisa, Seduce me imetoka na matangazo na promotion kila kona na ikawa na trend kubwa sana, kisha kukawa na Zilipendwa ya WBC ambayo haikuwa na promotion yoyote na ikawa inapanda yenyewe polepole, swali la kujiuliza kwa nini Diamond hakununua viewer ili haishinde Seduce me?, yaani uwezo wa kununua viewer anao lakini akakubali seduce me iwe na viewer wengi, leo katoa Hallelujah ambayo haina mpinzani sokoni ndio ananunua viewer?

Mange ana wivu wake Binafsi na chuki kali sana kwa diamond, so usiingie kwenye mkumbo kwa vitu vya kijinga
Historia insema, Mwanaume mmoja (Alikiba ~ Seduce me) mwenye nywele fupi aliwapasua vichwa wanaume 6 (domo band) wenye Afro zao.
 
Mwambie Mond "AJE" pekee yake VEVO asije na collabo/featuring.
Kiba afanyi collabo coz anaweza umbuka mkuu mond anajiamini ndo maana anatuwakilisha vizuri wewe kaa hapo usubiri mond aje vevo utazeeka!!!!
 
Back
Top Bottom