We acha tu mkuu, yani kumbe tumezika ndugu zetu kibao huku jamaa wakiwa bado na uhai! 70 minutes!! Huku hata dakika tano nyingi tayari wamesogeza mortuary!
Mkuuu endelea . Ufafanuzi na malezo yako japo ni ya kitaaamu sana lakini binafsi naona nimewza kujifunza na kuelewa mambo zaidi. sababu umefanua kwa lugha "yetu" na pili kwa maelzo rahisi