Uchaguzi 2020 Alikuwa akisoma comments za Twitter akajua kwamba ameshakuwa Rais, amechanganyikiwa

Upuuzi mtupu....umeandika utumbo gan...aisee kitengo cha propaganda lumumba kimeja viazi tupu
 
Huyu lissu hawezi kuwa rais,ilani yake kuu ni kumkashifu rais wetu,Huyu kuna kitu anakitafuta ila atambue fika watanzania sio mbumbumbu na hawadanganyiki

Anajatibu kuwaaminisha raia kuwa shambulizi lake lilifanywa na government ili apate huruma kwa raia na baadae wampe kura,CCM imejipanga kwa kila kona ,Huyu mburu matale hatuyumbishi
 
Lissu anawasumbua jamani yani mnapata pressure kila aina ya bandiko mnaaweka humu ndani kumhusu huyu jamaa. Kizuri chajiuza kwa aliyofanya JPM si kila mtu anaona hamna haja ya kupata pressure; Lissu Mungu kamwokoa an makusudi yake, usijaribu kupinga kusudi la Mungu juu ya mtu kama unafikiri natania fuatilia historia ya Farao wa Misri na Mussa utaelewa
 
Acha kumlinganisha Mandera na vitu vya kijinga

Ww ndio umelinganisha, mm nimekupa history tu kuwa hata makaburu walifanya maendeleo makubwa but still wanainchi waliwakataa, basi delete Mandela weka wanainchi waliwakataa
 
Mataga mna kazi sana kwa kweli, hamuwezi kusimamisha mafuriko kwa mkono, inabidi mpandishiwe kutoka buku7 mpaka 20 maana mnapata tabu sana kuwaaminisha watanzania kuwa shetani ni Mungu, hatudanganyiki
Weeh nawe!! Mafriko ya 2015 ulikuwa hujazaliwa kijana nini?

Mafriko gani unayoyasema we kijana
 
Mnahangaika na mambo mepesi MNO! haishangazi wenye chama hawapati tena usingizi na kujaribu kuokoteza mbinu za ushindi hadi kuangukia wavuta bangi wawaokoe..too late! Wakati likijengwa daraja la wavuka kwa miguu pale Manzese (sijui kama ulikuwepo jijini), nayo ilionekana kuwa ni hatua ya kimaendeleo, lakini hatukusikia tambo na mapambio kwa kuwa ni wajibu wa serikali inayokuwepo madarakani sawa na baba nyumbani kununua kitoweo cha kiti moto! Mkapa alijenga daraja la Mkapa hatukuona mapambio kwa kuwa ni jambo la kawaida tu. JK amejenga kilometa nyingi tu za barabara zikisimamiwa na huyu huyu JPM lakini serikali ya mkwere haikujificha kwenye hizo barabara. Halafu bila aibu unasema wafanyabiashara wanafanyabiashara kila kona bila bughudha...sijui kama bughudha ya wafanyabiashara unajua ilipo. Mwaka huu mnakataliwa na makundi yote wakiwemo hao wafanyabishara mpaka hao mnaowalipa kunengua viuno kupunguza hasira za wananchi.. Hao wanengua viuno nao wameumizwa na awamu ya tano, kama sio wao ni wazazi wao waliofukuzwa kazi kwa kuambiwa wana vyeti feki lakini Bashite akaachwa; kama sio wao shangazi zao wamebomolewa nyumba Kimara lakini wenye nyumba Mwanza wakaambiwa wasiwe na wasiwasi! Uchaguzi huu hauhusu miundombali kwa kuwa serikali yoyote inaweza hilo, bali unahusu utu zaidi!
 
Ww ndio umelinganisha, mm nimekupa history tu kuwa hata makaburu walifanya maendeleo makubwa but still wanainchi waliwakataa, basi delete Mandela weka wanainchi waliwakataa
Makaburu na hali iliyo Tz ni tofauti kabisa.
 
Tatizo si umeme, Tatizo si barabara,Tatizo si majengo ya shule nk.tatizo Uhuru akuna.Kwani wakoloni hawakua wanatoa huduma zote lakini wakaondolewa? Fikiri mara mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…