Alikuwa ananikwepa kabla hajazaa, sasa ana mapacha anataka nimuoe!

Alikuwa ananikwepa kabla hajazaa, sasa ana mapacha anataka nimuoe!

Vocal Fremitus

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2016
Posts
1,287
Reaction score
6,648
Miaka ya 2010-2012 kuna mtaa nilikua naishi. Ilikua karibu na chuo kilichopo katika makao makuu ya nchi. Kuna siku nilikua katika misele yangu njiani nikakutana na binti pisi kali haswa alinivutia sana. Alikua mdogo mdogo hivi, shape imejitenga, tumbo flat na vichuchu saa sita. Nikajiposition vizuri nikaanza kumfukuzia.

Katika stori za hapa na pale nikamuomba namba akagoma. Jibu lake ni kwamba hakua na simu, na hapendi mawasiliano na wanaume. Mkononi alishika kasimu katochi lakini akasisitiza siyo yake na hawezi kunipa namba. Kwakuwa nilikua na nia ya kuwa naye kimapenzi na njia pakee ili nikamilishe lengo langu ni kuwa na namba yake, ikabidi nimbembeleze sana anisubiri nikimbie dukani ninunue kalamu japo nimuandikie namba yangu ili akipata simu anitafute. Akakubali huku akisisitiza nifanye haraka sana. Kweli nikamuandikia namba yangu akasepa zake.

Hakuwahi kunitafuta tena. Ikawa kila nikikutana naye njiani, ananikwepa. Akipita sehem akijua nipo anajipitisha haraka haraka kwa makusudi ili nisimuite. Nikakata tamaa nikaamua kumpotezea tu mazima na kuendelea na mishe zangu. Baada ya miezi kadhaa nikaskia kuna dogo mkaanga chipsi pale mtaani anamega. Niliumia sana.

Sasa imepita miaka nane tangu nihame ile mitaa na nilishamsahau kabisa. Juzi usiku nipo kwangu nashangaa namba ngeni inanibipu. Nikapiga upande wa pili nikasikia sauti ya kike anauliza, "Wewe ndiyo Vocal Fremitus". Nikajibu ndiyo una shida gani? Akajitambulisha lakini sikuwa namkumbuka.

Baadae akanitext, kumbukumbu ikanijia. Ananiambia amenikumbuka, anatamani tuonane. Kifupi anataka niwe mpenzi wake na amejaa mazima anataka nimuoe tena bila ya mahari. Kwasasa ana watoto wawili mapacha wana miaka minne. Anadai mzazi mwenzake haeleweki na ameitelekeza familia.

Namuonea huruma. Nimemuambia amashachelewa, ingawa bado sijaoa lakini kuzaa kwake kabla ya ndoa ameshajitia doa ila anakomaa tu. Hakati tamaa. Anapiga simu zaidi ya mara 20 sipokei. Nimeblock namba. Anatumia namba ngeni kunipigia, nikianza kuskia sauti yake namblock!

 
Miaka ya 2010-2012 kuna mtaa nilikua naishi. Ilikua karibu na chuo kilichopo katika makao makuu ya nchi. Kuna siku nilikua katika misele yangu njiani nikakutana na binti pisi kali haswa alinivutia saana. Alikua mdogo mdogo hivi, shape imejitenga, tumbo flat na vichuchu saa sita. Nikajiposition vizuri nikaanza kumfukuzia.

Katika story za hapa na pale nikamuomba namba akagoma. Jibu lake ni kwamba hakua na simu, na hapendi mawasiliano na wanaume. Mkononi alishika kasimu katochi lakini akasisitiza sio yake na hawezi kunipa namba. Kwakua nilikua na nia ya kua nae kimapenzi na njia pakee ili nikamilishe lengo langu ni kua na namba yake, ikabidi nimbembeleze sana anisubiri nikimbie dukani ninunue kalamu japo nimuandikie namba yangu ili akipata simu anitafute. Akakubali huku akisisitiza nifanye haraka sana. Kweli nikamuandikia namba yangu akasepa zake.

Hakuwahi kunitafuta tena. Ikawa kila nikikutana nae njiani, ananikwepa. Akipita sehem akijua nipo anajipitisha haraka haraka kwa makusudi ili nisimuite. Nikakata tamaa nikaamua kumpotezea tu mazima na kuendelea na mishe zangu. Baada ya miezi kadhaa nikaskia kuna dogo mkaanga chipsi pale mtaani anamega. Niliumia sana.

Sasa imepita miaka nane tangu nihame ile mitaa na nilishamsahau kabisa. Juzi usiku nipo kwangu nashangaa namba ngeni inanibipu. Nikapiga upande wa pili nikaskia sauti ya kike anauliza, "Wewe ndio Vocal Fremitus". Nikajibu ndio una shida gani? Akajitambulisha lkn sikua namkumbuka. Baadae akanitext, kumbukumbu ikanijia. Ananiambia amenimiss, anatamani tuonane. Kifupi anataka niwe mpenzi wake na amejaa mazima anataka nimuoe tena bila ya mahari. Kwasasa ana watoto wawili mapacha. Wana miaka minne. Anadai mzazi mwenzake haeleweki na ameitelekeza familia.

Namuonea huruma. Nimemuambia it's too late lakini anakomaa tu. Hakati tamaa. Anapiga simu mara 20 sipokei. Nimeblock namba. Anatumia namba ngeni kunipigia, nikianza kuskia sauti yake nambock!!!
Unaonekana ushamkula pamoja na kujua ana mapacha wake. Ila kumuoa ndo unaona ni changamoto. Nakuelewa. Piga tu chini amani ya moyo ni muhimu sana
 
kama vp mnyandue alaf jikatae huyo maisha yashampiga kipind anauhakika wa chipsi mchana na jion hakuwa na haja ya kukutafta.
nakumbuka kipindi nimehamia kigamboni nlikua nakaa nyumba ambayo wamepanga wanafunzi nilipewa chumba na mama mmoja tunaheshimiana sana na kwakua nilishamsave kwenye kaz zake akanipa chumba bureee kabisa na niwe naangalia mazingira ya hostel yake.
Kuna dem nikawa namfuatilia wa kawaida ila alinitamanisha nimle bas nkaanza kumchombeza nkawa naomba namba hatak ila alikuja nitafta mwenyewe walipoenda likizo kurudi anaelekezwa kua anitafte akabidhi funguo hakulipa mwezi alioondoka bas akaja akanikuta hana hela na ndo wamefungua yupo yupo nkamwambia ukitaka nkusaidie we tanua nyama na tukimaliza futa namba zangu hutak pambana na hali yako dem hakua na namna nkanyandua na nkafuta namba zangu kwenye simu yake mwishoe nkamtosa kwa bi mkubwa nkamchana dogo hana hela akaondolewa hostel yy na mwenzake.
 
kama vp mnyandue alaf jikatae huyo maisha yashampiga kipind anauhakika wa chipsi mchana na jion hakuwa na haja ya kukutafta.
nakumbuka kipindi nimehamia kigamboni nlikua nakaa nyumba ambayo wamepanga wanafunzi nilipewa chumba na mama mmoja tunaheshimiana sana na kwakua nilishamsave kwenye kaz zake akanipa chumba bureee kabisa na niwe naangalia mazingira ya hostel yake.
Kuna dem nikawa namfuatilia wa kawaida ila alinitamanisha nimle bas nkaanza kumchombeza nkawa naomba namba hatak ila alikuja nitafta mwenyewe walipoenda likizo kurudi anaelekezwa kua anitafte akabidhi funguo hakulipa mwezi alioondoka bas akaja akanikuta hana hela na ndo wamefungua yupo yupo nkamwambia ukitaka nkusaidie we tanua nyama na tukimaliza futa namba zangu hutak pambana na hali yako dem hakua na namna nkanyandua na nkafuta namba zangu kwenye simu yake mwishoe nkamtosa kwa bi mkubwa nkamchana dogo hana hela akaondolewa hostel yy na mwenzake.
Kiroho mbaya 😁🤣👊🙌🙌🙌
 
kama vp mnyandue alaf jikatae huyo maisha yashampiga kipind anauhakika wa chipsi mchana na jion hakuwa na haja ya kukutafta.
nakumbuka kipindi nimehamia kigamboni nlikua nakaa nyumba ambayo wamepanga wanafunzi nilipewa chumba na mama mmoja tunaheshimiana sana na kwakua nilishamsave kwenye kaz zake akanipa chumba bureee kabisa na niwe naangalia mazingira ya hostel yake.
Kuna dem nikawa namfuatilia wa kawaida ila alinitamanisha nimle bas nkaanza kumchombeza nkawa naomba namba hatak ila alikuja nitafta mwenyewe walipoenda likizo kurudi anaelekezwa kua anitafte akabidhi funguo hakulipa mwezi alioondoka bas akaja akanikuta hana hela na ndo wamefungua yupo yupo nkamwambia ukitaka nkusaidie we tanua nyama na tukimaliza futa namba zangu hutak pambana na hali yako dem hakua na namna nkanyandua na nkafuta namba zangu kwenye simu yake mwishoe nkamtosa kwa bi mkubwa nkamchana dogo hana hela akaondolewa hostel yy na mwenzake.
Daaaah [emoji119][emoji119][emoji119] we jamaa. Badilisha ID jiite tu Mkatili itapendeza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Miaka ya 2010-2012 kuna mtaa nilikua naishi. Ilikua karibu na chuo kilichopo katika makao makuu ya nchi. Kuna siku nilikua katika misele yangu njiani nikakutana na binti pisi kali haswa alinivutia saana. Alikua mdogo mdogo hivi, shape imejitenga, tumbo flat na vichuchu saa sita. Nikajiposition vizuri nikaanza kumfukuzia.

Katika story za hapa na pale nikamuomba namba akagoma. Jibu lake ni kwamba hakua na simu, na hapendi mawasiliano na wanaume. Mkononi alishika kasimu katochi lakini akasisitiza sio yake na hawezi kunipa namba. Kwakua nilikua na nia ya kua nae kimapenzi na njia pakee ili nikamilishe lengo langu ni kua na namba yake, ikabidi nimbembeleze sana anisubiri nikimbie dukani ninunue kalamu japo nimuandikie namba yangu ili akipata simu anitafute. Akakubali huku akisisitiza nifanye haraka sana. Kweli nikamuandikia namba yangu akasepa zake.

Hakuwahi kunitafuta tena. Ikawa kila nikikutana nae njiani, ananikwepa. Akipita sehem akijua nipo anajipitisha haraka haraka kwa makusudi ili nisimuite. Nikakata tamaa nikaamua kumpotezea tu mazima na kuendelea na mishe zangu. Baada ya miezi kadhaa nikaskia kuna dogo mkaanga chipsi pale mtaani anamega. Niliumia sana.

Sasa imepita miaka nane tangu nihame ile mitaa na nilishamsahau kabisa. Juzi usiku nipo kwangu nashangaa namba ngeni inanibipu. Nikapiga upande wa pili nikaskia sauti ya kike anauliza, "Wewe ndio Vocal Fremitus". Nikajibu ndio una shida gani? Akajitambulisha lkn sikua namkumbuka. Baadae akanitext, kumbukumbu ikanijia. Ananiambia amenimiss, anatamani tuonane. Kifupi anataka niwe mpenzi wake na amejaa mazima anataka nimuoe tena bila ya mahari. Kwasasa ana watoto wawili mapacha. Wana miaka minne. Anadai mzazi mwenzake haeleweki na ameitelekeza familia.

Namuonea huruma. Nimemuambia it's too late lakini anakomaa tu. Hakati tamaa. Anapiga simu mara 20 sipokei. Nimeblock namba. Anatumia namba ngeni kunipigia, nikianza kuskia sauti yake nambock!!!

Mpotezee... Hiyo ndio dawa yao muhimu sana... Dawa ya kiburi ni jeuri
 
Back
Top Bottom