Alikuwa ananikwepa kabla hajazaa, sasa ana mapacha anataka nimuoe!

Alikuwa ananikwepa kabla hajazaa, sasa ana mapacha anataka nimuoe!

Aisee kumbe hiz mambo kila kona dah

Kuna bint ananisumbua sana sasa iv

2004-2006 nlikua nae kwenye mahusiano akaja kunipotezea mazima

Mwaka 2020 akanichek sijui no yangu iliitoa wapi yeye akiwa mwalimu wa primary kahama uko mim Nipo Moshi kwa mishe zangu, tukapima story lkn yeye alichokua anataka ni kuniona anamaongez na mie nimwambia Nipo Moshi akasema anakuja ilikua simple kwake mana ilikua ni likizo ya December

Kama utani vile dem akatua Moshi mjin mi nilikua Nipo mwanga lemben pale nikampa maelekezo akaja...

Oooh ikabid tupige stor pale na kupeana backgrounds zetu doh bint alikua keshaolewa ndoa mbili na kesha achika zote anadai mie ndo wake ninaemuwezea kwa kila kitu hakuna mwanaume anaemuelewa [emoji849]

Cha ajabu sasa bint ndoa ya kwanza Mtoto mmoja ndoa ya pil watoto wawil mmmh aisee bint alinichosha kabisa na mpaka leo hii ananisumbua na ana iman tamuoa tu

Mabint uwa wananishangaza sana kuzaa sehemu isiyoeleweka aisee swala la kuzaa ni uamuz magum sanaaa
Ukiona mwanamke anachukulia poa swala la kuzaa hata kama ni wa Ndoa huyo ujue hana akili.
 
Kwasababu ni wajasiriamali pesa wanayo muda wote yanu elfu kumi kumi hazi wakosi

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Wauza chips na bodaboda waningiza atleast 30k per day to make laki tisa kwa mwezi.

Ila maisha yao wanazidiwa na House Keeper anayelipwa laki tatu kwa mwezi.

Zile elfu kumi kumi wanazohonga wanaona ni ndogo lakini mwisho wa siku wana loose wao.
 
Daaah yaani huyu kakuelewa kwa kila kitu 2006 mpaka leo hii daaah kuna kipande kirefu sana.

Kaka sio kanielewa kapoteza muelekeo [emoji28]


Jumba bovu anataka aniangushie kwa kigezo cha upendo broo

tho’ she is good ,God fearing ,looking younger huwez amin ka anao watatu uwa najiuliza sijui alitekeza wapi uyu mwanamke
 
Japo nimechelewa kuuona huu uzi ila hii hali ilishawahi nitokea.

Kuna binti tulikua jirani tuli kuwa wote kipindi cha utoto mpaka shule primary tulisoma wote ila tupofika secondary yeye alihamishwaga baada ya familiar yao kuhama walipokuwa wanaishi.

Tulipofika form three yule binti alikuja hom kutembea nikashangaa amekuwa mkubwa na mrembo kweli kweli maana nilikuwa na miaka 3 sijamuona toka wahame.

Tukabadilishana namba, tulikuwa tunaheshimiana sana mimi nilijikuta nampenda nikaanza kumtongoza kwakua alikua ananiheshimu sana akashindwa kunikataa akakubali, tukawa na mahusiano ila cha ajabu akapunguza mawasliano ghafla alafu muda mwngne hapokei sim na hajibu sms nikawa nalalamika sana anachonifanyia.

Siku moja nikamuombaga penzi akakataa kabisa na akaniambia hawezi kufanya bado bikra mpaka aolewe kiufupi aliniwakia vibaya sana. Yale mahusiano kiufupi tu me nilikua kama nalazimisha yeye alikua anaonekana ana mtu wake ila ujinga na utoto nikawa nalazimisha.

Tukamalizaga form four nakumbuka siku moja nikampgia mida ya saa 4 asubui akaniambia yeye yupo kwenye Bus [emoji591] anaenda DSM kwa baba ake kwahyo kwasasa nisiwe namtafuta tena kwenye sim. niliumiaga sana ila sikujibu kitu nikakata sim nikafuta namba.

Na me nikaondoka nikaenda dsm kuskikilizia matokeo, hatukuwai kuwasliana tena , nika kaa miaka 9 nilisha msahau kabisa, siku moja alifiwa na baba ake mkubwa kwahyo mama yangu alienda msibani sasa kule msiban yule dem akamuombaga namba yangu mama akapewa.

sasa mama yangu alikua anaongea na mam yake yule binti ktk story zao mama akasema JBST anataka kuoa nwakani wakati mimi sina hata mpango huo nilimdanganya tu maza kwasababu alikua ananisumbua kwann hauoi. Mama ake yule binti akamwambia mama mtoto wake kazalia nyumban tu akawa anampongeza mama kwa kukuza akanisifia mimi na akili akawa anamsema mtoto wake huyo wa kike hasikii yan tafrani.

Siku moja nikatumiwa sms namba ngeni "mambo kaka yangu" nikamjibu fresh ktk kuchart akaniambia mimi Amina. Sasa sikujua ni amina yupi ktk kumdadisi ndo nikakumbuka akaniambia walikutana na mama msibani akampa namba yangu. Nilivojua tu ni yeye siku mjibu tena na sim sikupokea.. nikampigia mama nikamwambia mama kwann unagawa namba yangu kwa watu wasio na maana sasa amina umempa namba yangu ya nn? Mama akanisema sema kidogo pale niache roho mbaya kwani kumpa mtu namba kuna tatizo nikakausha ila maza akani hadithia kila kitu mpaka kwamba yule dem ana mtoto katelekezwa na jamaa yake.

Yule binti akawa ananisumbua sana nikamwambia uliniambia nisikutafute tena me sitaki mawasliano na ww, akaniambia ni utoto kaka me nakuheshimu tuendelee na undugu wetu tu nikamwambia haina shida.

Akaanza kuniambia ananipenda na anajutia kunifanyia vile kipindi kile nimsamehe kwasasa Amekuwa ni utoto ulikuwa unamsumbua! Nikamchana nilishakusamehe na kukupotezea siwezi kuwa na single maza akashangaa nimejuaje kama ana mtoto!! Akasema hana mtoto nikamwambia hata kama huna mtoto siwezi kuwa na ww. Siku moja nikamwambia njoo nikutie kama upo single kweli akasema nielekeze nije nikmpeleka Lodge nikamla sana nikamtia sana na vidole vya matako kumkomoa takataka yule .

Akafikiri eti tumeanza mahusiano akaanza kujibebisha nikampiga tofali kila sehemu akaja kumwambia mama JBST ananichukia bila sababu toka unipe namba yake hatakagi hata kunisikia, mama akaja kuniuliza nikamwambia achana nae malaya huyo ananitaka mimi simtaki akacheka tu akasema mtajuana wenyewe.
 
kama vp mnyandue alaf jikatae huyo maisha yashampiga kipind anauhakika wa chipsi mchana na jion hakuwa na haja ya kukutafta.
nakumbuka kipindi nimehamia kigamboni nlikua nakaa nyumba ambayo wamepanga wanafunzi nilipewa chumba na mama mmoja tunaheshimiana sana na kwakua nilishamsave kwenye kaz zake akanipa chumba bureee kabisa na niwe naangalia mazingira ya hostel yake.
Kuna dem nikawa namfuatilia wa kawaida ila alinitamanisha nimle bas nkaanza kumchombeza nkawa naomba namba hatak ila alikuja nitafta mwenyewe walipoenda likizo kurudi anaelekezwa kua anitafte akabidhi funguo hakulipa mwezi alioondoka bas akaja akanikuta hana hela na ndo wamefungua yupo yupo nkamwambia ukitaka nkusaidie we tanua nyama na tukimaliza futa namba zangu hutak pambana na hali yako dem hakua na namna nkanyandua na nkafuta namba zangu kwenye simu yake mwishoe nkamtosa kwa bi mkubwa nkamchana dogo hana hela akaondolewa hostel yy na mwenzake.
Hii ulishawahi kuadika mahali, ila kwanini ulimfanyia hivyo??
 
Japo nimechelewa kuuona huu uzi ila hii hali ilishawahi nitokea.

Kuna binti tulikua jirani tuli kuwa wote kipindi cha utoto mpaka shule primary tulisoma wote ila tupofika secondary yeye alihamishwaga baada ya familiar yao kuhama walipokuwa wanaishi.

Tulipofika form three yule binti alikuja hom kutembea nikashangaa amekuwa mkubwa na mrembo kweli kweli maana nilikuwa na miaka 3 sijamuona toka wahame.

Tukabadilishana namba, tulikuwa tunaheshimiana sana mimi nilijikuta nampenda nikaanza kumtongoza kwakua alikua ananiheshimu sana akashindwa kunikataa akakubali, tukawa na mahusiano ila cha ajabu akapunguza mawasliano ghafla alafu muda mwngne hapokei sim na hajibu sms nikawa nalalamika sana anachonifanyia.

Siku moja nikamuombaga penzi akakataa kabisa na akaniambia hawezi kufanya bado bikra mpaka aolewe kiufupi aliniwakia vibaya sana. Yale mahusiano kiufupi tu me nilikua kama nalazimisha yeye alikua anaonekana ana mtu wake ila ujinga na utoto nikawa nalazimisha.

Tukamalizaga form four nakumbuka siku moja nikampgia mida ya saa 4 asubui akaniambia yeye yupo kwenye Bus [emoji591] anaenda DSM kwa baba ake kwahyo kwasasa nisiwe namtafuta tena kwenye sim. niliumiaga sana ila sikujibu kitu nikakata sim nikafuta namba.

Na me nikaondoka nikaenda dsm kuskikilizia matokeo, hatukuwai kuwasliana tena , nika kaa miaka 9 nilisha msahau kabisa, siku moja alifiwa na baba ake mkubwa kwahyo mama yangu alienda msibani sasa kule msiban yule dem akamuombaga namba yangu mama akapewa.

sasa mama yangu alikua anaongea na mam yake yule binti ktk story zao mama akasema JBST anataka kuoa nwakani wakati mimi sina hata mpango huo nilimdanganya tu maza kwasababu alikua ananisumbua kwann hauoi. Mama ake yule binti akamwambia mama mtoto wake kazalia nyumban tu akawa anampongeza mama kwa kukuza akanisifia mimi na akili akawa anamsema mtoto wake huyo wa kike hasikii yan tafrani.

Siku moja nikatumiwa sms namba ngeni "mambo kaka yangu" nikamjibu fresh ktk kuchart akaniambia mimi Amina. Sasa sikujua ni amina yupi ktk kumdadisi ndo nikakumbuka akaniambia walikutana na mama msibani akampa namba yangu. Nilivojua tu ni yeye siku mjibu tena na sim sikupokea.. nikampigia mama nikamwambia mama kwann unagawa namba yangu kwa watu wasio na maana sasa amina umempa namba yangu ya nn? Mama akanisema sema kidogo pale niache roho mbaya kwani kumpa mtu namba kuna tatizo nikakausha ila maza akani hadithia kila kitu mpaka kwamba yule dem ana mtoto katelekezwa na jamaa yake.

Yule binti akawa ananisumbua sana nikamwambia uliniambia nisikutafute tena me sitaki mawasliano na ww, akaniambia ni utoto kaka me nakuheshimu tuendelee na undugu wetu tu nikamwambia haina shida.

Akaanza kuniambia ananipenda na anajutia kunifanyia vile kipindi kile nimsamehe kwasasa Amekuwa ni utoto ulikuwa unamsumbua! Nikamchana nilishakusamehe na kukupotezea siwezi kuwa na single maza akashangaa nimejuaje kama ana mtoto!! Akasema hana mtoto nikamwambia hata kama huna mtoto siwezi kuwa na ww. Siku moja nikamwambia njoo nikutie kama upo single kweli akasema nielekeze nije nikmpeleka Lodge nikamla sana nikamtia sana na vidole vya matako kumkomoa takataka yule .

Akafikiri eti tumeanza mahusiano akaanza kujibebisha nikampiga tofali kila sehemu akaja kumwambia mama JBST ananichukia bila sababu toka unipe namba yake hatakagi hata kunisikia, mama akaja kuniuliza nikamwambia achana nae malaya huyo ananitaka mimi simtaki akacheka tu akasema mtajuana wenyewe.
Yani anataka muwe wapenzi wakati alipokua ktk peak alikuchukulia poa. Kwahyo ww uwe second option baada ya mambo yake kukwama na kukimbiwa na mzazi mwenzake. Ni wapumbavu tu ndio wanaweza kua trapped na mwanamke mjinga kiasi hiko.
 
Niko chuo
First year hiyo naingia tu naona mtoto mzuri kwenye usajili nilimuelewa mno aisee
Tukawa marafiki wakati wa usajili tukazoeana kama vile tunafahamiana kitambo kumbe ndio tumekutana hiyo siku

Nikamtongoza nikiwa matumaini makubwa hawezi chomoa.....lahaula nikala tofali na time hiyo anadai ana mtu wake nikasema poa, moyoni nikajiambia haina haja ya kua nae kama ana mtu wake nikapunguza mawasiliano nae lakini yeye akawa ananitafuta mara kwa mara na kulalamika juu kwamba nampotezea baada ananiambia alikua anatumia kusema ana msela ili nisimsumbue na akadai watu wote waliokua wanamtongoza aliwaambia hivyo

Baadae nikaja gundua kuna mwamba alikua mbele yetu mwaka mmoja alikua anamkula huyo, mwamba kaendelea kumkula hadi kamhamishia geto mara kidogo demu akajaa kibendi nilikuja onana nae wakati nasubiri ingia kipindi macho kwa macho akawa ananisalimia kwa aibu
Muda ukaenda weeeeee chuo tukamaliza tulishakata mawasiliano siku moja ananifatuta messenger facebook anaomba namba yangu nikampa akawa anaomba nimpende yeye na mwanae kwamba mwana kamtelekeza na yuko tayari kunipa tunda to make the long story short tunda nilikula ila simfeel kama zamani tena moyo hautaki kua nae,tunda jenyewe nilikula kwa sababu alinisumbua mno akilalamika kwamba ana muda mrefu hajasuguliwa kitobo na jamaa ake hamtaki tena hata akimbembeleza amtie ila ndio sasa hivi ananisumbua nimpende yeye na mwanae kitu ambacho kinanipa ugumu

Wanawake wakiwa wanang'aa akili zao hua zinatoweka wakishapata tukio ndio wanarejea kwenye default setting sasa.
 
Niko chuo
First year hiyo naingia tu naona mtoto mzuri kwenye usajili nilimuelewa mno aisee
Tukawa marafiki wakati wa usajili tukazoeana kama vile tunafahamiana kitambo kumbe ndio tumekutana hiyo siku

Nikamtongoza nikiwa matumaini makubwa hawezi chomoa.....lahaula nikala tofali na time hiyo anadai ana mtu wake nikasema poa, moyoni nikajiambia haina haja ya kua nae kama ana mtu wake nikapunguza mawasiliano nae lakini yeye akawa ananitafuta mara kwa mara na kulalamika juu kwamba nampotezea baada ananiambia alikua anatumia kusema ana msela ili nisimsumbue na akadai watu wote waliokua wanamtongoza aliwaambia hivyo

Baadae nikaja gundua kuna mwamba alikua mbele yetu mwaka mmoja alikua anamkula huyo, mwamba kaendelea kumkula hadi kamhamishia geto mara kidogo demu akajaa kibendi nilikuja onana nae wakati nasubiri ingia kipindi macho kwa macho akawa ananisalimia kwa aibu
Muda ukaenda weeeeee chuo tukamaliza tulishakata mawasiliano siku moja ananifatuta messenger facebook anaomba namba yangu nikampa akawa anaomba nimpende yeye na mwanae kwamba mwana kamtelekeza na yuko tayari kunipa tunda to make the long story short tunda nilikula ila simfeel kama zamani tena moyo hautaki kua nae,tunda jenyewe nilikula kwa sababu alinisumbua mno akilalamika kwamba ana muda mrefu hajasuguliwa kitobo na jamaa ake hamtaki tena hata akimbembeleza amtie ila ndio sasa hivi ananisumbua nimpende yeye na mwanae kitu ambacho kinanipa ugumu

Wanawake wakiwa wanang'aa akili zao hua zinatoweka wakishapata tukio ndio wanarejea kwenye default setting sasa.
Ngoja akutegesheee mimbana wew ndo utajua hujuii
 
Niko chuo
First year hiyo naingia tu naona mtoto mzuri kwenye usajili nilimuelewa mno aisee
Tukawa marafiki wakati wa usajili tukazoeana kama vile tunafahamiana kitambo kumbe ndio tumekutana hiyo siku

Nikamtongoza nikiwa matumaini makubwa hawezi chomoa.....lahaula nikala tofali na time hiyo anadai ana mtu wake nikasema poa, moyoni nikajiambia haina haja ya kua nae kama ana mtu wake nikapunguza mawasiliano nae lakini yeye akawa ananitafuta mara kwa mara na kulalamika juu kwamba nampotezea baada ananiambia alikua anatumia kusema ana msela ili nisimsumbue na akadai watu wote waliokua wanamtongoza aliwaambia hivyo

Baadae nikaja gundua kuna mwamba alikua mbele yetu mwaka mmoja alikua anamkula huyo, mwamba kaendelea kumkula hadi kamhamishia geto mara kidogo demu akajaa kibendi nilikuja onana nae wakati nasubiri ingia kipindi macho kwa macho akawa ananisalimia kwa aibu
Muda ukaenda weeeeee chuo tukamaliza tulishakata mawasiliano siku moja ananifatuta messenger facebook anaomba namba yangu nikampa akawa anaomba nimpende yeye na mwanae kwamba mwana kamtelekeza na yuko tayari kunipa tunda to make the long story short tunda nilikula ila simfeel kama zamani tena moyo hautaki kua nae,tunda jenyewe nilikula kwa sababu alinisumbua mno akilalamika kwamba ana muda mrefu hajasuguliwa kitobo na jamaa ake hamtaki tena hata akimbembeleza amtie ila ndio sasa hivi ananisumbua nimpende yeye na mwanae kitu ambacho kinanipa ugumu

Wanawake wakiwa wanang'aa akili zao hua zinatoweka wakishapata tukio ndio wanarejea kwenye default setting sasa.
Ukijichanganya uishi nae huyo. Halafu umrudishe ktk chart umpendezeshe utashangaa jamaa lake lililomzalisha linammendea hao wanarudiana ww unaonekana poyoyo
 
Yani anataka muwe wapenzi wakati alipokua ktk peak alikuchukulia poa. Kwahyo ww uwe second option baada ya mambo yake kukwama na kukimbiwa na mzazi mwenzake. Ni wapumbavu tu ndio wanaweza kua trapped na mwanamke mjinga kiasi hiko.
Ni binti ni mjinga mno
 
Kaka sio kanielewa kapoteza muelekeo [emoji28]


Jumba bovu anataka aniangushie kwa kigezo cha upendo broo

tho’ she is good ,God fearing ,looking younger huwez amin ka anao watatu uwa najiuliza sijui alitekeza wapi uyu mwanamke
Huyu anataka angushia gari kwake.
 
[emoji848][emoji848][emoji848] Nilitaka niseme na wewe mwanao afanyiwe kama huyo binti lkn nikakumbuka na Mimi nilishawai kumnyandua nyota mbili wa Migration ikiwa ni malipo ya kumsaidia kutoa mizigo wake ofisini ila milivyomaliza kumnyandua nikamblock....niliona kwann niende pccb kisa Mbususu [emoji847]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah jmn
 
kama vp mnyandue alaf jikatae huyo maisha yashampiga kipind anauhakika wa chipsi mchana na jion hakuwa na haja ya kukutafta.
nakumbuka kipindi nimehamia kigamboni nlikua nakaa nyumba ambayo wamepanga wanafunzi nilipewa chumba na mama mmoja tunaheshimiana sana na kwakua nilishamsave kwenye kaz zake akanipa chumba bureee kabisa na niwe naangalia mazingira ya hostel yake.
Kuna dem nikawa namfuatilia wa kawaida ila alinitamanisha nimle bas nkaanza kumchombeza nkawa naomba namba hatak ila alikuja nitafta mwenyewe walipoenda likizo kurudi anaelekezwa kua anitafte akabidhi funguo hakulipa mwezi alioondoka bas akaja akanikuta hana hela na ndo wamefungua yupo yupo nkamwambia ukitaka nkusaidie we tanua nyama na tukimaliza futa namba zangu hutak pambana na hali yako dem hakua na namna nkanyandua na nkafuta namba zangu kwenye simu yake mwishoe nkamtosa kwa bi mkubwa nkamchana dogo hana hela akaondolewa hostel yy na mwenzake.
Kibabe sana hii
 
Nilichokuja kugundua wanawake wanakariri namba hata ikitokea ukimuacha au akikuacha nikiunganisha hicho kisa chako na kisa changu na baadhi ya wadau kwasababu mtu anakucha miaka minne au mitano ila unashangaa siku umeshasahau kabisa anakupigia simu amekumis wanawake kweli hawajui ku move on hasa yakiwakuta mazito huko walipo tarajia kupata fiedausi
Ndo mana hata ufaulu darasani wao huongoza kwa kuwa ni wazuri kwenye kukariri.
 
Back
Top Bottom