ww kubali mrudiane uende ukalambe karatasi kisha urudi umpeleke demu wako wa sasa,we unasema una hela hela yenyewe ya kibongo hii ishakuwa km zimbabwe na haichelewi kutoroka,maisha asa hivi ni mbere hapa bongo kushauzwa shauri yako,utakuja lia ww chezea zali hilo